Rais Putin: Watu wa Magharibi hawaielewi Russia

Rais Vladimir Putin amesema baadhi ya watu katika nchi za Magharibi hawaielewi Russia, lakini amesisitiza kuwa ukweli huo hauwezi kutatiza hata kidogo ustawi na maendeleo ya nchi hiyo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *