Rais Pezeshkian: Mafungamano ya kihistoria ya Iran na Azerbaijan ni ufunguo wa maendeleo ya ushirikiano

Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesema kuwa, mafungamano ya kihistoria kati ya ya Iran na Azerbaijan yanafungua njia ya maendeleo ya ushirikiano kati ya nchi hizo mbili.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *