Rais Pezeshkian: Iran iko tayari kwa mazungumzo lakini itampondaponda adui iwapo itashambuliwa

Matamshi ya Rais Masoud Pezeshkian katika mahojiano yake na televisheni ya NBC News ya Marekani yameendelea kuakisiwa katika vyombo vya habari vya ndani, kikanda na kimataifa.