Raia wa Uingereza waliokamatwa Iran  washtakiwa kwa ujasusi

Msemaji wa Idara ya Mahakama ya Iran amesema kuwa raia wawili wa Uingereza waliokamatwa hivi karibuni katika mji wa Kerman, kusini mashariki mwa nchi, wameshtakiwa kwa kufanya ujasusi kwa niaba ya mashirika ya kijasusi ya Magharibi.