Raia 5 wauawa katika mashambulizi ya India huko Kashmir

Mashambulizi ya India katika eneo la Kashmiri linalotawaliwa na Pakistan yamewaua raia watano. Mauaji hayo yanaripotiwa kufuatia siku kadhaa za makabiliano makali kati ya India na Pakistan katika eneo la Kashmir.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *