Qatar yalaani mpango wa Wazayuni wa kubomoa Msikiti wa Al-Aqswa

Qatar imelaani vikali mpango wa taasisi za Wazayuni wenye misimamo mikali ya kubomoa msikiti wa Al-Aqswa katika mji wa Baytul-Muqaddas.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *