Qamati: Ni upuuzi na maneno matupu kutaka Hizbullah ipokonywe silaha

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imesema kuwa, adui ana hofu kubwa na silaha za muqawama na kwamba, ni maneno ya kipuuzi na yasiyo na maana kutaka harakati hiyo ipokonywe silaha.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *