Korea Kaskazini imevurumisha makombora kadhaa ya balestiki baharini leo Jumatatu, saa chache baada ya wanajeshi wa Korea Kusini na Marekani kuanza mazoezi makubwa ya kijeshi ya kila mwaka ya pamoja, ambayo Pyongyang inayatazama kama majaribio ya uvamizi.
Related Posts
Trump: Ukraine ‘isahau’ kujiunga na NATO
Rais wa Marekani Donald Trump amesema Ukraine “isahau” kujiunga na Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO), tamko ambalo…
Rais wa Marekani Donald Trump amesema Ukraine “isahau” kujiunga na Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO), tamko ambalo…
Viongozi wa upinzani Kenya wadai, Rais Ruto na washirika wake wanataka kuiteka IEBC
Viongozi wa upinzani nchini Kenya wamepinga mchakato unaoendelea wa kuunda upya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), wakimshutumu Rais…
Viongozi wa upinzani nchini Kenya wamepinga mchakato unaoendelea wa kuunda upya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), wakimshutumu Rais…

Vyombo vya habari vya sraeli vinasema kuwa wanajeshi wa Yemen wameanzisha shambulio la kombora la balestiki katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu.
Vyombo vya habari vya sraeli vinasema kuwa wanajeshi wa Yemen wameanzisha shambulio la kombora la balestiki katika maeneo yanayokaliwa kwa…
Vyombo vya habari vya sraeli vinasema kuwa wanajeshi wa Yemen wameanzisha shambulio la kombora la balestiki katika maeneo yanayokaliwa kwa…