Putin apendekeza mazungumzo ya moja kwa moja na Ukraine kwa ajili ya ‘amani ya kudumu’

Rais Vladimir Putin wa Russia ametoa wito akitaka kuanza tena mazungumzo ya moja kwa moja bila masharti kati ya nchi yake na Ukraine mjini Istanbul, Mei 15, ili kufikia makubaliano ya amani ya kudumu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *