Presha 6 zinazoikabili Simba SC dhidi ya Berkane Zanzibar

Presha 6 zinazoikabili Simba SC dhidi ya Berkane Zanzibar

Baada ya kupoteza kwa mabao 2-0 ugenini kwenye dimba la Berkane, Wekundu hao wa Msimbazi wanahitaji ushindi wa angalau mabao 3-0 ili kugeuza matokeo na kutwaa taji lao la kwanza barani Afrika.

​  BBC News Swahili

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *