Polisi wa US wavamia nyumba za wanaounga mkono Palestina huko Michigan

Maafisa usalama wa serikali ya shirikisho ya Merekani wamefanya uvamizi ulioratibiwa kwenye makazi ya wanaharakati wanaounga mkono Palestina wanaohusishwa na Chuo Kikuu cha Michigan.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *