Polisi Afrika Kusini wamsaka mtuhumiwa wa uchimbaji madini haramu wa Stilfontein

Jeshi la Polisi la Afrika Kusini (SAPS) limeanzisha msako wa kumsaka kiongozi wa uchimbaji madini kinyume cha sheria anayedaiwa kutoroka baada ya kuibuka tena kutoka kwenye mgodi wa dhahabu wa Stilfontein wa Jimbo la Kaskazini Magharibi mwa Afrika Kusini.