Wanamapambano wa kambi ya Muqawama wa Kiislamu huko Khan Yunis katika Ukanda wa Ghaza, wameendelea kuwatia hasa wanajeshi vamizi wa utawala wa Kizayuni. Wanajeshi zaidi wa Israel wanaendelea kuripukiwa na mabomu na kupigwa risasi na vifaa vyao vya kijeshi kushambuliwa na wamamapambano wa Palestina.
Related Posts

Kipigo cha Yanga ni rekodi mpya
Dar es Saalam. Huwezi kuamini, ila ndivyo ukweli ulivyo, Yanga imechana mikeka ya wengi baada ya kupoteza mechi ya pili…
Dar es Saalam. Huwezi kuamini, ila ndivyo ukweli ulivyo, Yanga imechana mikeka ya wengi baada ya kupoteza mechi ya pili…

Kwenye hili la mauaji, Tume huru itueleze ukweli
Watu wa Zanzibar walipata mshituko mwishoni mwa wiki kwa kusikia taarifa za kuuawa kwa watu wawili na wengine kujeruhiwa katika…
Watu wa Zanzibar walipata mshituko mwishoni mwa wiki kwa kusikia taarifa za kuuawa kwa watu wawili na wengine kujeruhiwa katika…

Auwsa yafafanua upatikanaji wa maji Kijiji cha Oltepes
Dar es Salaam. Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Arusha (Auwsa) wilayani Longido imetoa ufafanuzi kuhusu upatikanaji wa maji…
Dar es Salaam. Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Arusha (Auwsa) wilayani Longido imetoa ufafanuzi kuhusu upatikanaji wa maji…