Pigo kwa wanajeshi vamizi wa Israel mashariki mwa Khan Yunis

Pigo kwa wanajeshi vamizi wa Israel mashariki mwa Khan Yunis

Wanamapambano wa kambi ya Muqawama wa Kiislamu huko Khan Yunis katika Ukanda wa Ghaza, wameendelea kuwatia hasa wanajeshi vamizi wa utawala wa Kizayuni. Wanajeshi zaidi wa Israel wanaendelea kuripukiwa na mabomu na kupigwa risasi na vifaa vyao vya kijeshi kushambuliwa na wamamapambano wa Palestina.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *