Jana Alkhamisi, mkoloni kizee wa Ulaya yaani Ufaransa alipata pigo jingine baada ya wanajeshi wake kutimuliwa katika kambi yake pekee ya kijeshi nchini Ivory Coast, magharibi mwa Afrika. Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya jana Alkhamisi ya vyombo mbalimbali vya habari.
Related Posts
Mashirika ya haki za binadamu yatahadharisha kuhusu amri ya Trump ya kuwazuia Waislamu kuingia Marekani
Wanaharakati wa haki za kiraia wameitaja amri mpya ya kiutendaji iliyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani inayowazuia raia wa…
Wanaharakati wa haki za kiraia wameitaja amri mpya ya kiutendaji iliyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani inayowazuia raia wa…
Hamas: Oparesheni ya Salfit ni ujumbe wa muqawama katika kujibu chokochoko za adui
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesisitiza katika taarifa kuwa oparesheni ya ufyatuaji risasi iliyotekelezwa jana usiku karibu…
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesisitiza katika taarifa kuwa oparesheni ya ufyatuaji risasi iliyotekelezwa jana usiku karibu…
Msumbiji yamwapisha rais mpya, ghasia za baada ya uchaguzi zaua watu 300
Daniel Chapo wa chama tawala cha Frelimo jana Jumatano aliapishwa kuwa rais wa tano wa Msumbiji baada ya miezi kadhaa…
Daniel Chapo wa chama tawala cha Frelimo jana Jumatano aliapishwa kuwa rais wa tano wa Msumbiji baada ya miezi kadhaa…