Pezeshkian: Wamarekani wathibitishe kivitendo kuwa kweli wanataka mazungumzo

Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mara nyingine tena amesisitiza kuwa, viongozi wa Marekani wana wajibu wa kuthibitisha kivitendo kuwa kweli wanataka mazungumzo na Tehran.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *