Rais Masoud Pezeshkian wa Iran sambamba na kuwapongeza viongozi na mataifa ya Kiislamu kwa mnasaba wa kuwadia mwezi mtukufu wa Ramadhani, ametoa mwito kwa nchi za Kiislamu kuutumia mwezi huu wa baraka kama chachu ya kuimarisha umoja, mshikamano na ushirikiano miongoni mwao.
Related Posts
Israel inawatesa mateka wa Palestina hadi dakika ya mwisho kabla ya kuachiliwa huru
Mara tu basi la kwanza lililobeba Wapalestina walioachiliwa huru lilipowasili Ramallah, Wapalestina sita walioachiliwa huru wamepelekwa haraka hospitalini kutokana na…
Mara tu basi la kwanza lililobeba Wapalestina walioachiliwa huru lilipowasili Ramallah, Wapalestina sita walioachiliwa huru wamepelekwa haraka hospitalini kutokana na…
Jibu la Iran kwa matamshi ya kiuhasama na yasiyo ya kidiplomasia ya Rais wa Marekani
Katika ujumbe wake kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ilijibu matamshi ya kiuhasam…
Katika ujumbe wake kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ilijibu matamshi ya kiuhasam…
Battlegroup North yakomboa makazi mawili katika Mkoa wa Kursk wiki hii
Battlegroup North yakomboa makazi mawili katika Mkoa wa Kursk wiki hiiKando na hayo, kulingana na ripoti hiyo, ndege za Urusi…
Battlegroup North yakomboa makazi mawili katika Mkoa wa Kursk wiki hiiKando na hayo, kulingana na ripoti hiyo, ndege za Urusi…