Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian ametoa mwito kwa nchi za Kiislamu kuungana na kushirikiana ili kulijenga upya eneo la Ukanda la Gaza ambalo limeharibiwa kikamilifu na mabomu ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
Related Posts
Waandamanaji washambulia ubalozi wa Marekani Kinshasa, waliouawa Goma wapindukia mia moja
Sambamba na machafuko yanayoendelea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), raia wa nchi hiyo wameshambulia ubalozi wa Marekani…

Kunyamaza Kungekuwa Zawadi kwa Israeli, Iran Inasema
Kunyamaza Kungekuwa Zawadi kwa Israeli, Iran Inasema Kunyamaza Kungekuwa Zawadi kwa Israeli, Iran InasemaTEHRAN (Tasnim) – Kutochukua hatua dhidi ya…
Familia za wahanga zaishtaki serikali ya Afrika Kusini kwa jinai za ubaguzi wa rangi
Familia 25 za wahanga na manusura wa jinai za kisiasa zilizofanyika zama za ubaguzi wa rangi huko Afrika Kusini zimemfungulia…