Pezeshkian: Mataifa ya Kiislamu yanaweza kukomesha jinai za Israel

Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amesema umoja na mshikamano miongoni mwa mataifa ya Kiislamu unaweza kuwa chachu ya kukomeshwa jinai za kuogofya za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina katika Ukanda wa Gaza.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *