Pezeshkian: Mashahidi Nasrullah na Safiyuddin walibakia watiifu kwa viapo vyao hadi mwisho

Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewaenzi na kuwakumbuka kwa wema Mashahidi Sayyid Hassan Nasrullah na Sayyid Hashim Safiyuddin wakati huu ambapo shughuli ya mazishi ya nguzo hizo mbili kubwa za kambi ya Muqawama ikiendelea.