Pezeshkian: Marekani inafanya uporaji mchana kweupe

Pezeshkian: Marekani inafanya uporaji mchana kweupe

Rais Masoud Pezeshkian amesema kuwa, rais wa Marekani Donal Trump alisema akiwa nchini Saudia kwamba watu wengine wanapora na kuiba wakati mwenyewe Trump ndiye anayefanya wizi na uporaji mchana kweupe na mbele ya macho ya walimwengu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *