Pezeshkian: Iran katu haitaacha haki zake za nyuklia

Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, ametangaza kwa msimamo thabiti kuwa Iran haitalegeza msimamo wala haitakubali masharti yoyote yanayohusu mafanikio yake ya nyuklia, huku akikosoa vikali vitisho vya kijeshi kutoka Marekani.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *