Pezeshkian: Iran iko tayari kupanua mahusiano na Afrika katika nyanja zote

Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesisitiza uwezo wa bara la Afrika na ulazima wa kuwepo ushirikiano na kwamba, IIran iko tayari kupanua ushirikiano wake na bara la Afrika katika nyanja zote.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *