Pezeshkian amjibu Trump: Inaonekana huwajui kabisa Wairani

Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amejibu kauli za Rais wa Marekani Donald Trump kuhusu Iran na kusema kuwa, inaonekiana kiongozi huyo wa Marekani hawafahamu wananchi wa Iran.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *