“Papa Francis kujifunza tena kuzungumza”- Vatican

Papa mwenye umri wa miaka 88 amelazwa hospitalini kwa wiki tano sasa kutokana na homa ya mapafu ambapo katika kipindi hicho Vatican alisikika mara moja tu Machi 6, ambapo sauti yake ilikuwa dhaifu, ilikatika-katika na haikuwa rahisi kueleweka.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *