Baada ya India kufanya mashambulizi makubwa ya anga, jeshi la Pakistan limeamua kulipiza kisasi kwa kuanzisha mashambulizi ya anga, ya makombora na maroketi dhidi ya maeneo ya India. Operesheni hiyo imepewa jina la Al-Bun-yan al Marsoos yaani Jengo Lililoshikamana. Sambamba na kuanza operesheni hiyo, taarifa zinasema kuwa kumefanyika mashambulizi makubwa ya mtandao dhidi ya gridi ya umeme ya India.
Related Posts

Georgia yataja mtu aliyehusika na vita vya 2008 na Urusi
Georgia inataja mtu aliyehusika na vita vya 2008 na UrusiTbilisi alianzisha mzozo na Moscow “kwa maagizo kutoka nje,” chama tawala…
Georgia inataja mtu aliyehusika na vita vya 2008 na UrusiTbilisi alianzisha mzozo na Moscow “kwa maagizo kutoka nje,” chama tawala…
Ulimwengu wa Spoti, Apr 7
Hujambo mskilizaji mpenzi mwanaspoti. Ufuatao ni mkusanyiko wa baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita…
Hujambo mskilizaji mpenzi mwanaspoti. Ufuatao ni mkusanyiko wa baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita…
Kursk inakera, Donbass kusonga mbele, na kurudi kwa ndege zisizo na rubani: Wiki ya mzozo wa Ukraine (VIDEOS)
Kursk inakera, Donbass kusonga mbele, na kurudi kwa ndege zisizo na rubani: Wiki ya mzozo wa Ukraine (VIDEOS)Vikosi vya Moscow…
Kursk inakera, Donbass kusonga mbele, na kurudi kwa ndege zisizo na rubani: Wiki ya mzozo wa Ukraine (VIDEOS)Vikosi vya Moscow…