Waziri wa Habari wa Pakistan, Attaullah Tarar amesema leo Jumatano kwamba nchi yake ina taarifa za kuaminika za kiintelijensia kwamba India inakusudia kufanya shambulizi la kijeshi dhidi ya Pakistan ndani ya masaa 24 hadi 36 yajayo, hilo likiwa tishio la hivi karibuni zaidi la vita kati ya majirani hao wawili wenye silaha za nyuklia.
Related Posts
Sheikh Zakzaky awaenzi watoto wa Mashahidi wa Nigeria, Palestina
Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria aliandaa dhifa ya chakula cha jioni Ijumaa usiku kwa ajili…
Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria aliandaa dhifa ya chakula cha jioni Ijumaa usiku kwa ajili…
Ijumaa, Aprili 4, 2025
Leo ni Ijumaa tarehe 5 Mfunguo Mosi Shawwal 1446 Hijria sawa na 04 Aprili mwaka 2025 Milaadia. Post Views: 15
Leo ni Ijumaa tarehe 5 Mfunguo Mosi Shawwal 1446 Hijria sawa na 04 Aprili mwaka 2025 Milaadia. Post Views: 15
Hamas yatoa wito wa maandamano makubwa kupinga mipango ya kuwaondoa Wapalestina huko Gaza
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetoa wito kwa Wapalestina, Waarabu, Waislamu na watu huru kote duniani kushiriki…
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetoa wito kwa Wapalestina, Waarabu, Waislamu na watu huru kote duniani kushiriki…