Pakistan: India huenda ikaanzisha mashambulizi ndani ya saa 24 hadi 36 zijayo

Waziri wa Habari wa Pakistan, Attaullah Tarar amesema leo Jumatano kwamba nchi yake ina taarifa za kuaminika za kiintelijensia kwamba India inakusudia kufanya shambulizi la kijeshi dhidi ya Pakistan ndani ya masaa 24 hadi 36 yajayo, hilo likiwa tishio la hivi karibuni zaidi la vita kati ya majirani hao wawili wenye silaha za nyuklia.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *