Skip to content

MALUMBANO DUNIANI

Mizozo ya kijeshi duniani

  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us
Mahakama yampiga ‘stop’ mke wa Sumaye
WANANCHI NEWS

Mahakama yampiga ‘stop’ mke wa Sumaye

MUKSININovember 24, 2024

Dar es Salaam. Mahakama ya Rufani imemsimamisha Esther Fredrick, mke wa Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania, Fredrick Sumaye kutekeleza tuzo…

Huduma za afya zaanza kuimarishwa maeneo yaliyoathiriwa na tabia nchi
WANANCHI NEWS

Huduma za afya zaanza kuimarishwa maeneo yaliyoathiriwa na tabia nchi

MUKSININovember 24, 2024

Dodoma. Wakati Mkutano wa 29 wa Mabadiliko ya Tabianchi (COP-29) ukiendelea mjini Baku, Azerbaijan, taasisi isiyo ya kiserikali ya Elico…

DC Haniu akunwa jitihada za kuwainua wakulima, wafugaji
WANANCHI NEWS

DC Haniu akunwa jitihada za kuwainua wakulima, wafugaji

MUKSININovember 24, 2024

Rungwe. Juhudi zinazoendelea kufanywa na taasisi za fedha nchini kupitia huduma za kibenki zilizobuniwa mahsusi kwa wakulima na wafugaji, ikiwemo…

Zaidi ya wagonjwa 600 wahitaji kupandikizwa ini Muhimbili
WANANCHI NEWS

Zaidi ya wagonjwa 600 wahitaji kupandikizwa ini Muhimbili

MUKSININovember 24, 2024

Dar es Salaam. Zaidi ya wagonjwa 600 wanahitaji kupata huduma ya upandikizaji wa ini katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH),…

Utekelezaji wa hukumu ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), mtihani kwa Wamagharibi
SWAHILI NEWS

Utekelezaji wa hukumu ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), mtihani kwa Wamagharibi

MUKSININovember 24, 2024

Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya haki za binadamu huko Palestina amesema kuwa utekelezaji na kushikamana nchi…

Guardiola yupo kwenye wakati mgumu
WANANCHI NEWS

Guardiola yupo kwenye wakati mgumu

MUKSININovember 24, 2024

Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola amethibitisha kwamba hali ya timu yake ni tete na ikiwa watapoteza mchezo ujao rasmi…

Jiongeze:Ruge, Lundenga na Kanumba
WANANCHI NEWS

Jiongeze:Ruge, Lundenga na Kanumba

MUKSININovember 24, 2024

Dar es Salaam. Hakuna mwaka Miss Tz iliotesha mastaa kama 2006. Baada ya hapo haikuwa Miss Tz tena. Bali zilikuwa…

Jamii yang’atwa sikio kuwakumbuka wenye mahitaji
WANANCHI NEWS

Jamii yang’atwa sikio kuwakumbuka wenye mahitaji

MUKSININovember 24, 2024

Dar es Salaam. Kampuni, taasisi na wadau nchini wamekumbushwa kuwa na desturi ya kurudisha kwa jamii,  ili kurejesha tabasamu kwa…

Kampeni chafu zinavyoweza kupunguza mwamko wa wapiga kura
WANANCHI NEWS

Kampeni chafu zinavyoweza kupunguza mwamko wa wapiga kura

MUKSININovember 24, 2024

Dar es Salaam. Katika kila uchaguzi, sauti ya mwananchi ni msingi wa maamuzi ya kitaifa na mustakabali wa kizazi kijacho.…

Wasomi wasema janga la Kariakoo ni somo
WANANCHI NEWS

Wasomi wasema janga la Kariakoo ni somo

MUKSININovember 24, 2024

Dar es Salaam. Ingawa tukio la kuporomoka kwa jengo la ghorofa Kariakoo limeacha maumivu, wanazuoni wamesema ni somo kwa Taifa…

WANANCHI NEWS

Ndani ya boksi: Baunsa wa Mondi miaka 20 nyuma

MUKSININovember 24, 2024

Dar es Salaam. Alphard ‘brandi nyuu’. Hapo hamna hamna basi uwe na ‘twente’ milioni. Ili kumiliki mkoko huu wa vinasaba…

TLP, Chadema waunganisha nguvu kushinda Tandale
WANANCHI NEWS

TLP, Chadema waunganisha nguvu kushinda Tandale

MUKSININovember 24, 2024

Dar es Salaam. Mgombea wa Uenyekiti wa serikali ya mtaa kwa Tumbi Kata ya Tandale kupitia Chama cha Tanzania Labour…

WANANCHI NEWS

Sababu Mzumbe kumtunuku udaktari wa heshima Rais Samia

MUKSININovember 24, 2024

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametunukiwa Shahada ya Uzamivu ya Heshima ya Uongozi na Chuo Kikuu…

Jeshi la Israel linaendelea kuteketeza roho za watu wasio na hatia Ghaza na Lebanon
SWAHILI NEWS

Jeshi la Israel linaendelea kuteketeza roho za watu wasio na hatia Ghaza na Lebanon

MUKSININovember 24, 2024

Katika siku ya 416 ya vita dhidi ya Ukanda wa Ghaza, utawala wa Kizayuni unaendeleza mashambulizi ya kinyama na mauaji…

Brigedia Jenerali Reza Sadeghi: US imetumia dola trilioni tisa Asia Magharibi bila mafanikio yoyote
SWAHILI NEWS

Brigedia Jenerali Reza Sadeghi: US imetumia dola trilioni tisa Asia Magharibi bila mafanikio yoyote

MUKSININovember 24, 2024

Mshauri mwandamizii wa Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema: Wamarekani hawajapata mafanikio licha ya…

Aamka saa chache kabla ya kuzikwa kimakosa akiwa hai, afariki tena
WANANCHI NEWS

Aamka saa chache kabla ya kuzikwa kimakosa akiwa hai, afariki tena

MUKSININovember 24, 2024

Dar es Salaam. Mgonjwa mmoja aliyekuwa amelazwa kwenye chumba cha wagonjwa mahututi, amenusurika kuchomwa moto (kwa mujibu wa tamaduni za…

Ahukumiwa miaka 18 jela kwa kuua bila kukusudia
WANANCHI NEWS

Ahukumiwa miaka 18 jela kwa kuua bila kukusudia

MUKSININovember 24, 2024

Moshi. Mahakama Kuu Kanda ya Moshi, imemhukumu Sifael Kivuyo kutumikia kifungo cha miaka 18 jela kwa kosa la kumuua bila…

Spika Qalibaf: Uwekaji wa mashinepewa za kisasa ni jibu kwa ufanyaji mambo kisiasa wa IAEA
SWAHILI NEWS

Spika Qalibaf: Uwekaji wa mashinepewa za kisasa ni jibu kwa ufanyaji mambo kisiasa wa IAEA

MUKSININovember 24, 2024

Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema, kuanza kutumiwa mashinepewa (centrifuges) mpya na za kisasa ni jibu…

WANANCHI NEWS

‘607 wanahitaji upandikizaji ini Muhimbili’

MUKSININovember 24, 2024

Dar es Salaam. Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), imeeleza kuwa itaanza upandikizaji wa ini ifikapo mwaka 2025. Hatua hiyo…

Russia: Mkataba wa ushirikiano mpana wa kistratejia na Iran utajumuisha ulinzi na usalama
SWAHILI NEWS

Russia: Mkataba wa ushirikiano mpana wa kistratejia na Iran utajumuisha ulinzi na usalama

MUKSININovember 24, 2024

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema mkataba wa ushirikiano wa kimkakati na mpana kati ya nchi yake…

Jumuiya 11 za Ufaransa zaihimiza serikali itekeleze agizo la ICC la kumkamata Netanyahu na Gallant
SWAHILI NEWS

Jumuiya 11 za Ufaransa zaihimiza serikali itekeleze agizo la ICC la kumkamata Netanyahu na Gallant

MUKSININovember 24, 2024

Jumuiya 11 zisizo za kiserikali (NGO’s) nchini Ufaransa zimeitaka serikali ya nchi hiyo itekeleze agizo la Mahakama ya Kimataifa ya…

Trump amuunga mkono kuwania ubunge wa US mwanasiasa anayewachukia Waislamu
SWAHILI NEWS

Trump amuunga mkono kuwania ubunge wa US mwanasiasa anayewachukia Waislamu

MUKSININovember 24, 2024

Rais mteule wa Marekani Donald Trump amemhimiza mbunge wa Florida ambaye alisherehekea mauaji ya raia wa Marekani yaliyofanywa na jeshi…

Kuwa makini mitandao isikuvunjie ndoa yako
WANANCHI NEWS

Kuwa makini mitandao isikuvunjie ndoa yako

MUKSININovember 24, 2024

Tuanze na kisa kilichotokea nchini Marekani mwaka jana. Mwanandoa mmoja alimtoa roho mwenzie kisa mitandao ya kijamii na tamaa. Wanandoa…

Mzazi unavyoweza kumsaidia mtoto wako wa kiume aje kuwa baba bora
WANANCHI NEWS

Mzazi unavyoweza kumsaidia mtoto wako wa kiume aje kuwa baba bora

MUKSININovember 24, 2024

Malezi ya mtoto wa kiume ni safari inayohitaji uvumilivu, upendo na ushirikiano wa karibu kati ya wazazi. Na tunaambiwa ili…

Kitanzi kipya Man City, Newcastle United
WANANCHI NEWS

Kitanzi kipya Man City, Newcastle United

MUKSININovember 24, 2024

London,England. Maisha huenda yakawa magumu kwa Manchester City na Newcastle United katika Ligi Kuu England (EPL) kwa siku za usoni…

Fanya haya kumsaidia mtoto kuwa mbunifu
WANANCHI NEWS

Fanya haya kumsaidia mtoto kuwa mbunifu

MUKSININovember 24, 2024

Ubunifu ni uwezo wa kufikiri, kutafuta majibu, au kutatua changamoto kwa namna isiyotarajiwa. Unamsaidia mtu kupambana na changamoto zake kwa…

SEPAH: Magaidi 88 wameangamizwa na kutiwa mbaroni kusini mashariki mwa Iran + Video
SWAHILI NEWS

SEPAH: Magaidi 88 wameangamizwa na kutiwa mbaroni kusini mashariki mwa Iran + Video

MUKSININovember 24, 2024

Msemaji wa luteka ya kijeshi ya kambi ya Quds ya Jeshi la Nchi Kavu la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu…

Iran: Tunakaribisha hatua zozote za kuondolewa kinga utawala wa Kizayuni
SWAHILI NEWS

Iran: Tunakaribisha hatua zozote za kuondolewa kinga utawala wa Kizayuni

MUKSININovember 24, 2024

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu inakaribisha hatua yoyote ya kuuondolea kinga…

Kiongozi maarufu wa upinzani Tanzania na wenzake waachiliwa huru kwa dhamana
SWAHILI NEWS

Kiongozi maarufu wa upinzani Tanzania na wenzake waachiliwa huru kwa dhamana

MUKSININovember 24, 2024

Freeman Mbowe, kiongozi wa chama cha upinzani cha Chadema nchini Tanzania jana aliachiliwa huru kwa dhamana baada ya kukamatwa siku…

Uhusiano wa Niger na nchi za Ulaya wazidi kuharibika, EU yamwita balozi wake
SWAHILI NEWS

Uhusiano wa Niger na nchi za Ulaya wazidi kuharibika, EU yamwita balozi wake

MUKSININovember 24, 2024

Umoja wa Ulaya (EU) umemuondoa balozi wake aliyekuweko Niamey, mji mkuu wa Niger kutokana na kushadidi mvutano na uongozi mpya…

Jeshi la Sudan layateka tena makao makuu ya jimbo la Sinnar la katikati mwa nchi
SWAHILI NEWS

Jeshi la Sudan layateka tena makao makuu ya jimbo la Sinnar la katikati mwa nchi

MUKSININovember 24, 2024

Serikali ya Sudan ilitangaza jana Jumamosi kuwa jeshi la nchi hiyo SAF limeuteka tena mji wa Singa ambao ni makao…

ONGEA NA ANTI BETTIE: Mtoto wangu anafanana na mfanyakazi mwenzangu nifanyeje?
WANANCHI NEWS

ONGEA NA ANTI BETTIE: Mtoto wangu anafanana na mfanyakazi mwenzangu nifanyeje?

MUKSININovember 24, 2024

Nashindwa hata nianzie wapi, ninakosa raha kila inapoitwa leo kwani wenzangu walikuwa wakinong’ona kuwa mtoto wangu amefanana na mfanyakazi mwenzangu…

Mzumbe kumtunuku Rais Samia udaktari wa heshima
WANANCHI NEWS

Mzumbe kumtunuku Rais Samia udaktari wa heshima

MUKSININovember 24, 2024

Leo Jumapili, Novemba 2 4, 2024 ni mahafali ya 23 ya Chuo Kikuu cha Mzumbe, Mkoa wa Morogoro. Katika mahafali…

Wawili mbaroni kwa kuvunja vioo vya treni SGR kwa mawe
WANANCHI NEWS

Wawili mbaroni kwa kuvunja vioo vya treni SGR kwa mawe

MUKSININovember 24, 2024

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi limewakamata na kuwahoji watuhumiwa wawili kwa kosa la kuharibu kwa kuvunja vioo viwili vya…

Anko Kitime: Tanga ndipo kilipozikwa kitovu cha muziki wa dansi Tanzania
WANANCHI NEWS

Anko Kitime: Tanga ndipo kilipozikwa kitovu cha muziki wa dansi Tanzania

MUKSININovember 24, 2024

Dar es Salaam. Wiki chache zilizopita Rais Mama Samia Suluhu Hassan alimtunza mtunzi na muimbaji wa bendi ya Atomic Jazz…

Kiongozi: Wahusika wote wa genge la magaidi wa Kizayuni lazima washtakiwe
SWAHILI NEWS

Kiongozi: Wahusika wote wa genge la magaidi wa Kizayuni lazima washtakiwe

MUKSININovember 24, 2024

Ayatullah Seyyed Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amehimiza kufunguliwa mashtaka maafisa wote wa kisiasa na kijeshi wa…

Ayatullah Sistani alaani mauaji dhidi ya Mashia nchini Pakistan
SWAHILI NEWS

Ayatullah Sistani alaani mauaji dhidi ya Mashia nchini Pakistan

MUKSININovember 24, 2024

Ayatullah Sayyid Ali Sistani, Kiongozi wa juu wa kidini na Marjaa-Taqlidi wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq amelaani…

Kim Jong Un: Marekani inachangia kuongezeka mivutano duniani
SWAHILI NEWS

Kim Jong Un: Marekani inachangia kuongezeka mivutano duniani

MUKSININovember 24, 2024

Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un ameishutumu Marekani kwa kuongeza mivutano na uchokozi na kueleza kwamba, amesema rasi ya…

Waziri Mkuu wa Ireland: Tutawakamata Netanyahu na Gallant
SWAHILI NEWS

Waziri Mkuu wa Ireland: Tutawakamata Netanyahu na Gallant

MUKSININovember 24, 2024

Waziri Mkuu wa Ireland amesisitiza kuwa, nchi yake itatekeleza amri ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kuhusu kukamatwa Waziri…

Maandamano ya watetezi wa Palestina yaendelea ulimwenguni
SWAHILI NEWS

Maandamano ya watetezi wa Palestina yaendelea ulimwenguni

MUKSININovember 24, 2024

Wafuasi wa wananchi na wanachuo wa Palestina katika baadhi ya nchi wametoa wito wa kukomeshwa jinai za utawala wa Kizayuni…

Kiongozi wa upinzani Msumbiji atangaza masharti ya kufanya mazungumzo
SWAHILI NEWS

Kiongozi wa upinzani Msumbiji atangaza masharti ya kufanya mazungumzo

MUKSININovember 24, 2024

Kiongozi wa upinzani Msumbiji amesema atakubali mwito wa rais wa mazungumzo baada ya ghasia kali za baada ya uchaguzi kwa…

Jumapili, 24 Novemba, 2024
SWAHILI NEWS

Jumapili, 24 Novemba, 2024

MUKSININovember 24, 2024

Leo ni Jumapili 22 Mfunguo Nane Jamadul-Awwal 1446 Hijria ambayo inasadifiana na 24 Novemba 2024 Miladia. Siku kama ya leo…

Kuingia vita vya Ukraine katika hatua mpya na kuzidisha mzozo kati ya Russia na NATO
SWAHILI NEWS

Kuingia vita vya Ukraine katika hatua mpya na kuzidisha mzozo kati ya Russia na NATO

MUKSININovember 24, 2024

Matukio ya hivi karibuni katika vita vya Ukraine, yaani uamuzi wa nchi za Magharibi wa kutoa ruhusa kwa Ukraine kuishambulia…

WANANCHI NEWS

Viongozi wanavyokimbizana na ratiba ngumu ya kampeni

MUKSININovember 23, 2024

Dar es Salaam. Zikiwa zimebakia siku tatu kuhitimishwa kwa kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa, viongozi wa vyama vya…

Masauni ahimiza maadili, uzalendo kwa vijana
WANANCHI NEWS

Masauni ahimiza maadili, uzalendo kwa vijana

MUKSININovember 23, 2024

Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni amewataka viongozi wa dini ya Kiislamu kuwa karibu na jamii…

Profesa Kabudi ataka elimu ya Biblia shuleni
WANANCHI NEWS

Profesa Kabudi ataka elimu ya Biblia shuleni

MUKSININovember 23, 2024

Mbeya. Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabuni amewataka viongozi wa dini ya Kikristo nchini,  kuungana na kuanzisha programu…

Polisi Kilimanjaro yawashikilia wawili kwa tuhuma za mauaji
WANANCHI NEWS

Polisi Kilimanjaro yawashikilia wawili kwa tuhuma za mauaji

MUKSININovember 23, 2024

Moshi. Mkazi wa Kata ya Kirua Vunjo Kusini, Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, Florence Malya (54), amefariki dunia baada ya…

Aga Khan yaadhimisha siku ya watoto njiti
WANANCHI NEWS

Aga Khan yaadhimisha siku ya watoto njiti

MUKSININovember 23, 2024

 Dar es Salaam. Hospitali ya Aga Khan leo imeadhimisha siku ya watoto njiti ikiweka msisitizo wa kuwepo juhudi za pamoja…

Dk Isaka atamba NHIF kuimarika kiutendaji
WANANCHI NEWS

Dk Isaka atamba NHIF kuimarika kiutendaji

MUKSININovember 23, 2024

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Dk Irene Isaka amesema mfuko huo…

Imani potofu, gharama zinavyokwaza tiba ya kifafa
WANANCHI NEWS

Imani potofu, gharama zinavyokwaza tiba ya kifafa

MUKSININovember 23, 2024

Dar es Salaam. Ukosefu wa elimu kuhusu magonjwa ya mishipa ya fahamu, ukiwemo wa kifafa, unatajwa kama moja ya sababu…

Posts navigation

Older posts
Newer posts
Copyright © 2025 MALUMBANO DUNIANI | Link News by Ascendoor | Powered by WordPress.
  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us