Skip to content

MALUMBANO DUNIANI

Mizozo ya kijeshi duniani

  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us
WANANCHI NEWS

Upigaji kura waendelea katikati ya malalamiko ya majina kutoonekana, kutopangiliwa

MUKSININovember 27, 2024

Dar es Salaam. Changamoto ya wananchi kutoyaona majina yao imeendelea kujitokea katika mitaa mbalimbali jijini Dar es Salaam, hatua inayosababisha…

Dk Tulia: Dk Ndugulile ametuachia simanzi kubwa
WANANCHI NEWS

Dk Tulia: Dk Ndugulile ametuachia simanzi kubwa

MUKSININovember 27, 2024

Dar es Salaam. Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Tulia Ackson, amesema kifo cha aliyekuwa Mbunge…

WANANCHI NEWS

Sababu kutobandikwa majina vituo vya wazi

MUKSININovember 27, 2024

Shinyanga. Msimamizi wa uchaguzi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, Alexius Kagunze, amesema baadhi ya vituo vya wazi ambavyo haviko kwenye…

WANANCHI NEWS

Walalama majina kutosomeka vizuri

MUKSININovember 27, 2024

Musoma. Wakazi wa Manispaa ya Musoma mkoani Mara wanalalamikia majina ya wapiga kura yaliyobandikwa kwenye baadhi ya vituo kutosomeka vizuri.…

Kizungumkuti cha majina kutopangwa kunavyowapa ugumu wapigakura
WANANCHI NEWS

Kizungumkuti cha majina kutopangwa kunavyowapa ugumu wapigakura

MUKSININovember 27, 2024

Mbeya. Pamoja na mchakato wa uchaguzi kuendelea kwa amani jijini hapa, baadhi ya wapiga kura wameeleza changamoto ya majina kutopangwa…

Kauli ya mwisho ya Dk Ndugulile bungeni
WANANCHI NEWS

Kauli ya mwisho ya Dk Ndugulile bungeni

MUKSININovember 27, 2024

Dar es Salaam. Aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni, Dk Faustine Ndugulile, ambaye amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Novemba 27, 2024,…

Bosi WHO amlilia Dk Ndugulile
WANANCHI NEWS

Bosi WHO amlilia Dk Ndugulile

MUKSININovember 27, 2024

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO), Dk Tedros Adhanom Ghebreyesus ameeleza kushtushwa…

WANANCHI NEWS

Wasiojua kusoma, kuandika wasaidiwa kupiga kura

MUKSININovember 27, 2024

 Dodoma. Watu wasiojua kusoma na kuandika wameruhusiwa kusaidiwa kupiga kura na ndugu zao wanaowaamini, huku wazee na watu wenye ulemavu…

Shughuli mbalimbali zasimimama kwa muda Arusha
WANANCHI NEWS

Shughuli mbalimbali zasimimama kwa muda Arusha

MUKSININovember 27, 2024

Arusha. Wakati wananchi wakijitokeza kupiga kura katika maeneo mbalimbali kuchagua viongozi wa serikali za mitaa, baadhi ya shughuli ikiwemo wafanyabiashara…

KONA YA FYATU MFYATUZI: Bomoa mijengo yote ya Kalia Koo
WANANCHI NEWS

KONA YA FYATU MFYATUZI: Bomoa mijengo yote ya Kalia Koo

MUKSININovember 27, 2024

Wapendwa mafyatu na mashabiki wangu, jongea ugani tudurusu na kujadili hii ishu kwa utuo na uzuri. Keibuni sana waghoshi na…

NIKWAMBIE MAMA: Makosa ya muda yasigeuzwe ya misimu
WANANCHI NEWS

NIKWAMBIE MAMA: Makosa ya muda yasigeuzwe ya misimu

MUKSININovember 27, 2024

Tumekwisha kuifikia siku tuliyoisubiri kwa hamu toka siku nyingi zilizopita. Siku ya kuwachagua viongozi wetu wa mtaani watakaoiwakilisha Serikali kuu…

Rais Samia atuma salamu za pole kifo cha Dk Ndugulile
WANANCHI NEWS

Rais Samia atuma salamu za pole kifo cha Dk Ndugulile

MUKSININovember 27, 2024

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za pole kutokana na kifo cha Dk Faustine Ndugulile, Mbunge wa…

WANANCHI NEWS

Simanjiro wazungumzia hali ya upigaji wa kura uchaguzi

MUKSININovember 27, 2024

 Mirerani. Wakazi wa mji mdogo wa Mirerani, Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, wamejitokeza kwa wingi kushiriki uchaguzi wa Serikali za…

WANANCHI NEWS

Wananchi wajitokeza vituoni kupiga kura

MUKSININovember 27, 2024

Dar/Mikoani. Watanzania katika maeneo mbalimbali nchini wamejitokeza kwenye vituo vya kupigia kura kufanya uamuzi kwa kuwachagua viongozi wa mitaa, vijiji…

Maandamano makubwa yafanyika Uhispania kulaani jinai za utawala wa Kizayuni
SWAHILI NEWS

Maandamano makubwa yafanyika Uhispania kulaani jinai za utawala wa Kizayuni

MUKSININovember 27, 2024

Maandamano yamefanyika katika miji tofauti ya Uhispania kuunga mkono Palestina na kulaani jinai za utawala wa Kizayuni. Maelfu ya watu…

WANANCHI NEWS

BARAZA LA SALIM: Majengo ya Mji Mkongwe bomu linalosubiri kulipuka

MUKSININovember 27, 2024

Watanzania wapo katika majonzi ya kuomboleza maafa yaliyotokea Kariakoo, Dar es Salaam, ya kuporomoka kwa jengo na kuua watu zaidi…

Usitishaji vita waanza kutekelezwa huko Lebanon
SWAHILI NEWS

Usitishaji vita waanza kutekelezwa huko Lebanon

MUKSININovember 27, 2024

Makubaliano ya kusitisha vita nchini Lebanon yamenza kutelezwa mapema leo saa kumi alfajiri kwa saa za Beirut. Hatua hiyo inamaliza…

Dk Ndugulile afariki dunia
WANANCHI NEWS

Dk Ndugulile afariki dunia

MUKSININovember 27, 2024

Dar es Salaam. Mbunge wa Kigamboni, Dk Faustine Ndugulile amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Novemba 27, 2024 nchini India…

Haki, amani vitawale uchaguzi leo
WANANCHI NEWS

Haki, amani vitawale uchaguzi leo

MUKSININovember 27, 2024

Leo nchi yetu inahitimisha safari ya siku 104 tangu Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed…

WANANCHI NEWS

KONA YA MALOTO: Tuingie ndani ya kongamano la miezi sita ya Makonda Arusha

MUKSININovember 27, 2024

Jumapili, Novemba 17, 2024, ukumbi wa Simba, Kituo cha Kimataifa cha Mikutano Arusha (AICC), Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul…

Usiri unavyoleta ugumu mapambano dhidi ya ukeketaji
WANANCHI NEWS

Usiri unavyoleta ugumu mapambano dhidi ya ukeketaji

MUKSININovember 27, 2024

Dar es Salaam. Usiri uliojengeka miongoni mwa wazazi, umetajwa kuwa sababu ya kuendelea kuwapo kwa vitendo vya ukeketaji katika Wilaya…

Iran yatilia mkazo umuhimu wa kushirikiana watu wote duniani kukomesha jinai za Israel
SWAHILI NEWS

Iran yatilia mkazo umuhimu wa kushirikiana watu wote duniani kukomesha jinai za Israel

MUKSININovember 27, 2024

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametilia mkazo wajibu wa kushirikiana jamii zote duniani katika kuhakikisha utawala wa Kizayuni…

Waziri wa mrengo wa kulia wa Israel atoa wito wa kukalia kwa mabavu Gaza, kupunguza idadi ya wakazi wake hadi nusu
SWAHILI NEWS

Waziri wa mrengo wa kulia wa Israel atoa wito wa kukalia kwa mabavu Gaza, kupunguza idadi ya wakazi wake hadi nusu

MUKSININovember 27, 2024

Waziri wa Fedha wa Israel anayejulikana kwa itikadi kali ametoa wito wa kukaliwa kwa mabavu eneo la Ukanda wa Gaza…

Borrell ataka kutekelezwa uamuzi wa mahakama ya ICC dhidi ya Netanyahu na Gallant
SWAHILI NEWS

Borrell ataka kutekelezwa uamuzi wa mahakama ya ICC dhidi ya Netanyahu na Gallant

MUKSININovember 27, 2024

Kamishna wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya, Josep Borrell, ametoa wito wa kutekelezwa uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa…

HRW: Watoto 10 wauawa katika maandamano ya uchaguzi Msumbiji
SWAHILI NEWS

HRW: Watoto 10 wauawa katika maandamano ya uchaguzi Msumbiji

MUKSININovember 27, 2024

Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema kuwa askari usalama wa Msumbiji vimewauwa watoto wasiopungua 10…

Ripoti: Watu milioni 35 ni wakimbizi Afrika sababu ya mizozo
SWAHILI NEWS

Ripoti: Watu milioni 35 ni wakimbizi Afrika sababu ya mizozo

MUKSININovember 27, 2024

Ripoti ya waangalizi wa kimataifa iliyotolewa jana Jumanne imesema kwamba mizozo, machafuko na majanga kote barani Afrika yameongeza mara tatu…

Mapigano yashadidi huko El Fashe, Sennar yapokea raia wanaorejea makwao
SWAHILI NEWS

Mapigano yashadidi huko El Fashe, Sennar yapokea raia wanaorejea makwao

MUKSININovember 27, 2024

Mji wa El Fasher, magharibi mwa Sudan, umeshuhudia mapigano kati ya jeshi na Vikosi vya kundi la Msaada wa Haraka…

Kuendelea jinai za magaidi Parachinar, Pakistan
SWAHILI NEWS

Kuendelea jinai za magaidi Parachinar, Pakistan

MUKSININovember 27, 2024

Baada ya shambulio la hivi majuzi la kigaidi dhidi ya Mashia wa Parachinar katika Wilaya ya Kurram nchini Pakistani, mamlaka…

Jumatano, Novemba 27, 2024
SWAHILI NEWS

Jumatano, Novemba 27, 2024

MUKSININovember 27, 2024

Leo ni Jumatano tarehe 25 Mfunguo Nane Jamadil Awwal 1446 Hijria inayosadifiana na tarehe 27 Novemba 2024 Milaadia. Tarehe 27…

Kamati kuchunguza sakata la wanafunzi 15 wanaodaiwa kuchoma moto shule Siha
WANANCHI NEWS

Kamati kuchunguza sakata la wanafunzi 15 wanaodaiwa kuchoma moto shule Siha

MUKSININovember 26, 2024

Moshi. Timu inayochunguza tukio la wanafunzi 15 wa Shule ya Sekondari Sanya Day, Wilaya ya Siha, Mkoa wa Kilimanjaro waliokamatwa…

BoT yatahadharisha mambo matatu uondoshaji wa noti za zamani
WANANCHI NEWS

BoT yatahadharisha mambo matatu uondoshaji wa noti za zamani

MUKSININovember 26, 2024

Dodoma. Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetahadharisha mambo matatu kwa benki za biashara na Watanzania wakati wa shughuli ya uondoaji…

Yanga na nuksi ya mechi ya kwanza makundi
WANANCHI NEWS

Yanga na nuksi ya mechi ya kwanza makundi

MUKSININovember 26, 2024

Matokeo ya kufungwa mabao 2-0 nyumbani kutoka kwa Al Hilal kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, yameendeleza mkosi ambao Yanga imekuwa…

Polisi yawasaka waliomjeruhi mtoto aliyekatishwa masomo
WANANCHI NEWS

Polisi yawasaka waliomjeruhi mtoto aliyekatishwa masomo

MUKSININovember 26, 2024

Arusha. Polisi mkoani Arusha wameanza msako wa kuwatafuta watuhumiwa waliohusika na tukio la kumshambulia na kumjeruhi mtoto wa kike wa…

Watanzania kutoa hukumu uchaguzi serikali za mitaa
WANANCHI NEWS

Watanzania kutoa hukumu uchaguzi serikali za mitaa

MUKSININovember 26, 2024

Dar es Salaam. Baada ya pilikapilika za kampeni kesho Watanzania watafanya uamuzi wa kuwachagua viongozi wa mitaa, vijiji na vitongoji…

Wanawake wahamasishwa kushiriki uchaguzi serikali za mitaa
WANANCHI NEWS

Wanawake wahamasishwa kushiriki uchaguzi serikali za mitaa

MUKSININovember 26, 2024

Dar es Salaam. Wakati saa chache zimesalia kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa, wanahakati wa Kituo cha Taarifa na Maarifa…

Samia: Uamuzi wa wananchi kwenye sanduku la kura utaheshimiwa
WANANCHI NEWS

Samia: Uamuzi wa wananchi kwenye sanduku la kura utaheshimiwa

MUKSININovember 26, 2024

Dar es Salaam. Wakati kesho Jumatano Novemba 27, 2024 Watanzania wakitarajiwa kupiga kura kuwachagua viongozi wa Serikali za mitaa, vijiji…

Dakika 90 za Yanga ya Ramovic kuchapwa na Al Hilal
WANANCHI NEWS

Dakika 90 za Yanga ya Ramovic kuchapwa na Al Hilal

MUKSININovember 26, 2024

Yanga imeanza vibaya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika ikifungwa mabao 2-0 nyumbani dhidi ya Al Hilal kwenye…

Wajawazito Uzi, Ng’ambwa wanavyosotea huduma
WANANCHI NEWS

Wajawazito Uzi, Ng’ambwa wanavyosotea huduma

MUKSININovember 26, 2024

Unguja. Licha ya kuwa na kituo cha afya kilichojengwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf), wajawazito wa visiwa vya…

Tigo yabadili tena jina, yaeleza sababu
WANANCHI NEWS

Tigo yabadili tena jina, yaeleza sababu

MUKSININovember 26, 2024

Dar es Salaam. Chapa ya kampuni ya huduma za simu ya Tigo Tanzania imebadilishwa  na sasa itakujulikana kwaa jina la…

Ruvuma kinara upimaji VVU nchini
WANANCHI NEWS

Ruvuma kinara upimaji VVU nchini

MUKSININovember 26, 2024

Songea. Mkuu wa Programu wa Wizara ya Afya, Dk Catherine Joachim amesema takwimu zinaonesha Mkoa wa Ruvuma ni kinara katika…

Mwenyekiti Chadema Kilimanjaro aachiwa kwa dhamana
WANANCHI NEWS

Mwenyekiti Chadema Kilimanjaro aachiwa kwa dhamana

MUKSININovember 26, 2024

Moshi. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na maendeleo (Chadema) Mkoa wa Kilimanjaro, Gervas Mgonja ameachiwa kwa dhamana. Mgonja alikamatwa na…

Iran mhanga mkubwa zaidi wa silaha za kemikali
SWAHILI NEWS

Iran mhanga mkubwa zaidi wa silaha za kemikali

MUKSININovember 26, 2024

Katika mkutano wa 29 wa mwaka wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Silaha za Kemikali (CWC) huko The Hague, nchi…

‘Watumishi wa umma jitokezeni kupiga kura kuchagua viongozi bora’
WANANCHI NEWS

‘Watumishi wa umma jitokezeni kupiga kura kuchagua viongozi bora’

MUKSININovember 26, 2024

Dar es Salaam. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,  George Simbachawene amewasisitiza…

AG, Bakwata, Msajili wa Jumuiya za Kidini wawaweka pingamizi kesi ya Kikatiba
WANANCHI NEWS

AG, Bakwata, Msajili wa Jumuiya za Kidini wawaweka pingamizi kesi ya Kikatiba

MUKSININovember 26, 2024

Dar es Salaam. Msajili wa Jumuiya za Kidini na Vyama vya Kijamii, Kabidhi Wasihi Mkuu, Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG),…

Mrusi aliyehukumiwa kwa kuchoma nakala ya Quran, afungwa miaka 4 jela kwa kosa la uhaini
SWAHILI NEWS

Mrusi aliyehukumiwa kwa kuchoma nakala ya Quran, afungwa miaka 4 jela kwa kosa la uhaini

MUKSININovember 26, 2024

Mwanaume mmoja raia wa Russia aliyepatikana na hatia mapema mwaka huu kwa kuchoma moto nakala ya kitabu kitakatifu cha Waislamu,…

Waliofariki kwa mafuriko kuzikwa Novemba 28
WANANCHI NEWS

Waliofariki kwa mafuriko kuzikwa Novemba 28

MUKSININovember 26, 2024

Tarime. Wakati Serikali ikijitayarisha kwa maziko ya watu wanane wa familia moja waliofariki dunia kwa kusombwa na maji wilayani Tarime,…

Jenerali Baqeri: Majibu ya Iran kwa uvamizi wa Israel yatakuwa ‘zaidi ya inavyodhaniwa’
SWAHILI NEWS

Jenerali Baqeri: Majibu ya Iran kwa uvamizi wa Israel yatakuwa ‘zaidi ya inavyodhaniwa’

MUKSININovember 26, 2024

Kamanda wa ngazi ya juu zaidi wa kijeshi nchini Iran amesema kuwa Majeshi ya Iran yameandaa jibu kali kwa shambulio…

Hemmati: Iran imeimarika katika mfumo mpya wa dunia
SWAHILI NEWS

Hemmati: Iran imeimarika katika mfumo mpya wa dunia

MUKSININovember 26, 2024

Waziri wa Masuala ya Kiuchumi na Fedha wa Iran amesema kuongezeka kwa uwezo wa Jamhuri ya Kiislamu katika mfumo mpya…

Afrika Kusini yasisitiza kuhusu kuchukuliwa hatua za kimataifa kupigania uhuru wa Palestina
SWAHILI NEWS

Afrika Kusini yasisitiza kuhusu kuchukuliwa hatua za kimataifa kupigania uhuru wa Palestina

MUKSININovember 26, 2024

Afrika Kusini Jumatatu ilisisitiza wito wake wa kusitishwa mapigano mara moja huko Palestina na Lebanon na kuanzishwa kwa mchakato wa…

Aliyekuwa kocha wa Simba afikisha siku 736 rumande bila upelelezi kukamilika
WANANCHI NEWS

Aliyekuwa kocha wa Simba afikisha siku 736 rumande bila upelelezi kukamilika

MUKSININovember 26, 2024

Dar es Saalam. Aliyekuwa kocha wa makipa wa timu ya soka ya mpira wa miguu, Simba Sport Club, Muharami Sultani…

Posts navigation

Older posts
Newer posts
Copyright © 2025 MALUMBANO DUNIANI | Link News by Ascendoor | Powered by WordPress.
  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us