Skip to content

MALUMBANO DUNIANI

Mizozo ya kijeshi duniani

  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us
Wapalestina wengine 18 wauawa shahidi Gaza
SWAHILI NEWS

Wapalestina wengine 18 wauawa shahidi Gaza

MUKSININovember 16, 2024

Wapalestina wengine 18 wameuawa shahidi katika jinai mpya iliyotekelezwa na jeshi la utawala haramu wa Israel katika Ukanda wa Gaza.…

Lema adai vurugu za Arusha zilipangwa, aagiza wahusika kuvuliwa uanachama
WANANCHI NEWS

Lema adai vurugu za Arusha zilipangwa, aagiza wahusika kuvuliwa uanachama

MUKSININovember 16, 2024

Arusha. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema amedai vurugu zilizojitokeza juzi wakati wa…

Wapinzani ni asilimia 38 ya wagombea, CCM yatawala serikali za mitaa
WANANCHI NEWS

Wapinzani ni asilimia 38 ya wagombea, CCM yatawala serikali za mitaa

MUKSININovember 16, 2024

Dodoma. Chama cha Mapinduzi (CCM), kimefanikiwa kuweka wagombea katika nafasi zote za vijiji, vitongoji na mitaa kwenye uchaguzi wa serikali…

Othman: Serikali ina wajibu kueleza ukweli vifo vyenye utata
WANANCHI NEWS

Othman: Serikali ina wajibu kueleza ukweli vifo vyenye utata

MUKSININovember 16, 2024

Unguja. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud amezifariji familia zilizopoteza vijana wao katika vifo vyenye utata, huku…

Wananchi wa Gabon washiriki kura ya maoni ya marekebisho ya katiba
SWAHILI NEWS

Wananchi wa Gabon washiriki kura ya maoni ya marekebisho ya katiba

MUKSININovember 16, 2024

Raia wa Gabon wamepiga kura ya maoni ya kuidhinisha katiba mpya katika hatua ambayo inaonekana kuwa muhimu kwa ajili ya…

Wakulima wa mwani Buyu walia kukosa njia
WANANCHI NEWS

Wakulima wa mwani Buyu walia kukosa njia

MUKSININovember 16, 2024

Unguja. Ukosefu wa njia umedaiwa kuwa kikwazo kwa wakulima wa mwani na uvuvi katika shehia ya Buyu, Mkoa wa Mjini…

Serikali yaikaribisha sekta binafsi katika ulinzi wa taarifa
WANANCHI NEWS

Serikali yaikaribisha sekta binafsi katika ulinzi wa taarifa

MUKSININovember 16, 2024

Arusha. Serikali imekaribisha sekta binafsi na mashirika ya kimataifa,  kushiriana katika ulinzi wa taarifa ili kukabiliana na ukiukwaji wa faragha…

Qatar yaonya kuhusu kupigwa marufuku UNRWA
SWAHILI NEWS

Qatar yaonya kuhusu kupigwa marufuku UNRWA

MUKSININovember 16, 2024

Serikali ya Qatar imeonya kuhusiana na hatua ya kupigwa marukufu shughuli za Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi…

Mahakama yakubali Oryx kusikilizwa kuhusu utekelezaji kulipa Sh460 bilioni
WANANCHI NEWS

Mahakama yakubali Oryx kusikilizwa kuhusu utekelezaji kulipa Sh460 bilioni

MUKSININovember 16, 2024

Dar es Salaam. Mahakama ya Rufani imekubali kuzisikiliza kampuni za Oryx Oil Company Limited na Oryx Energies SA katika shauri…

WANANCHI NEWS

Mahusiano yalivyompa maisha Best King

MUKSININovember 16, 2024

Dar es Salaam. Wakati wengi wakikata tamaa kutokana na maumivu mbalimbali ikiwemo ya mapenzi, maisha na mengine, lakini kwa upande…

Hirizi ya mganga yamponza,  ajisalimisha polisi kukiri mauaji
WANANCHI NEWS

Hirizi ya mganga yamponza,  ajisalimisha polisi kukiri mauaji

MUKSININovember 16, 2024

Arusha. Hirizi ya mganga yamponza, aenda kujisalimisha polisi, kukiri kuua akiamini hatochukuliwa hatua. Hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya Mahakama…

Iran yalitaka Baraza la Usalama kuchukua hatua za kukomesha jinai za Israel
SWAHILI NEWS

Iran yalitaka Baraza la Usalama kuchukua hatua za kukomesha jinai za Israel

MUKSININovember 16, 2024

Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ametoa mwito wa kuchukuliwa hatua…

Wananchi wa Morocco waandamana kuunga mkono Palestina
SWAHILI NEWS

Wananchi wa Morocco waandamana kuunga mkono Palestina

MUKSININovember 16, 2024

Wananchi wa Morocco wameandamana na kutangaza himaya na uungaji mkono wao kwa wananchi wa Gaza na kulaani jinai za utawala…

Kupasishwa azimio jipya la Umoja wa Mataifa la kuwaunga mkono Wapalestina
SWAHILI NEWS

Kupasishwa azimio jipya la Umoja wa Mataifa la kuwaunga mkono Wapalestina

MUKSININovember 16, 2024

Kamati ya Haki za Binadamu na Masuala ya Kibinadamu ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa imepasisha azimio na kusisitiza…

Uchaguzi ni mchakato wa demokrasia, si chuki
WANANCHI NEWS

Uchaguzi ni mchakato wa demokrasia, si chuki

MUKSININovember 16, 2024

Dar es Salaam. Katika ulimwengu wa kisasa, uchaguzi ni daraja linalowaunganisha wananchi na viongozi wao wa kuchaguliwa, kuwezesha demokrasia kuimarika…

WANANCHI NEWS

Mmoja afariki dunia, 28 waokolewa ajali jengo lililoporomoka Kariakoo

MUKSININovember 16, 2024

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema hadi sasa mtu mmoja pekee amefariki dunia,  huku wengine 28 wakijeruhiwa katika…

Mashuhuda wataja sababu kuanguka kwa ghorofa la Kariakoo
WANANCHI NEWS

Mashuhuda wataja sababu kuanguka kwa ghorofa la Kariakoo

MUKSININovember 16, 2024

Dar es Salaam. Leo Novemba 16, 2024  wakazi wa Kariakoo wameshtushwa na tukio la kuanguka kwa jengo lenye ghorofa nne. Ajali hiyo…

WANANCHI NEWS

Rais Samia atoa pole ajali ya Kariakoo, aagiza  nguvu zaidi za uokoaji

MUKSININovember 16, 2024

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ameleza kusikitishwa na taarifa ya ajali ya kuporomoka kwa jengo la ghorofa katika…

Tanzania: Watu watano wafariki dunia baada ya jengo kuporomoka Kariakoo
SWAHILI NEWS

Tanzania: Watu watano wafariki dunia baada ya jengo kuporomoka Kariakoo

MUKSININovember 16, 2024

Watu watano wamefariki dunia, na zaidi ya 40 kujeruhiwa baada ya jengo kuporomoka katika eneo la Kariakoo, Dar es Salaam,…

Jiongeze: Usafiri wa kwanza wa Diamond
WANANCHI NEWS

Jiongeze: Usafiri wa kwanza wa Diamond

MUKSININovember 16, 2024

Dar es Salaam. Baada ya Nenda Kamwambie kufanya vizuri. Diamond akanunua pikipiki aina ya Vespa. Pikipiki hizi maarufu sana Unguja…

WANANCHI NEWS

Hali ilivyo Kariakoo, Waziri Mkuu naye kutembelea

MUKSININovember 16, 2024

Dar es Salaam. Shughuli za biashara katika eneo la Kariakoo mtaa wa Mchikichi na Congo zimesimama kwa muda,  huku Waziri…

Ghorofa laporomoka Dar, watu kadhaa wahofiwa kupoteza maisha
WANANCHI NEWS

Ghorofa laporomoka Dar, watu kadhaa wahofiwa kupoteza maisha

MUKSININovember 16, 2024

Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to…

Akutwa amefariki dunia ndani ya nyumba yake
WANANCHI NEWS

Akutwa amefariki dunia ndani ya nyumba yake

MUKSININovember 16, 2024

Arusha. Harufu kali mithili ya mzoga wa mnyama iliyotoka ndani ya nyumba ya John Lema (57), mkazi wa Mtaa wa…

HAMAS yaendelea kuangamiza wanajeshi wa Israel kaskazini mwa Ghaza
SWAHILI NEWS

HAMAS yaendelea kuangamiza wanajeshi wa Israel kaskazini mwa Ghaza

MUKSININovember 16, 2024

Brigedi za Izzuddin Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS zimetangaza kuwa zimeangamiza maafisa…

Hizbulla yaendelea kutoa vipigo dhidi ya Wazayuni
SWAHILI NEWS

Hizbulla yaendelea kutoa vipigo dhidi ya Wazayuni

MUKSININovember 16, 2024

Kitengo cha habari za kivita cha Hizbullah ya Lebanon kimetangaza kuwa harakati hiyo ya Muqawama wa Kiislamu imeendelea kutoa vipigo…

Putin: Tuko tayari kusimamisha vita nchini Ukraine
SWAHILI NEWS

Putin: Tuko tayari kusimamisha vita nchini Ukraine

MUKSININovember 16, 2024

Ikulu ya Russia imetangaza habari ya kufanyika mazungumzo ya simu baina ya Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo na Kansela…

Kwa mara nyingine Ronald Lamola ataka kukomeshwa vita mara moja Ghaza
SWAHILI NEWS

Kwa mara nyingine Ronald Lamola ataka kukomeshwa vita mara moja Ghaza

MUKSININovember 16, 2024

Kwa mara nyingine tena, Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini ametaka kukomeshwa vita mara moja katika Ukanda wa…

Afrika Kusini yachukua hatua baada ya watoto 22 kufa kwa sumu
SWAHILI NEWS

Afrika Kusini yachukua hatua baada ya watoto 22 kufa kwa sumu

MUKSININovember 16, 2024

Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ameamuru kuondolewa dawa hatari za kuua wadudu barabarani na madukani kama moja ya hatua…

Palestina yatoa onyo kali kwa utawala wa Kizayuni kuhusu kitongoji cha al-Bastan
SWAHILI NEWS

Palestina yatoa onyo kali kwa utawala wa Kizayuni kuhusu kitongoji cha al-Bastan

MUKSININovember 16, 2024

Wizara ya Mambo ya Nje ya Palestina imetahadharisha kuhuusu uharibifu huo kamili wa kitongoji cha al-Bastan cha Quds Tukufu inayokaliwa…

WANANCHI NEWS

Ndani ya Boksi: Zuchu hayo maneno si mageni hapa jijini 

MUKSININovember 16, 2024

Dar es Salaam, Wasanii wa kuwatazama kwa jicho la tofauti ni pamoja na Chilla. Huyu ni tatizo sana. Fundi. Ndiye…

Larijani: Iran inaendelea kuunga mkono muqawama katika hali zote
SWAHILI NEWS

Larijani: Iran inaendelea kuunga mkono muqawama katika hali zote

MUKSININovember 16, 2024

Mshauri wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei amesisitiza kuwa, Iran inaendelea kuunga mkono kwa kila hali…

Hekaya za Mlevi: Sasa imbeni “miskanka mishisha”…
WANANCHI NEWS

Hekaya za Mlevi: Sasa imbeni “miskanka mishisha”…

MUKSININovember 16, 2024

Dar es Salaam. Waswahili waliposema “Pombe siyo maji” hawakukosea hata kidogo. Ilitokea siku moja tukitayarisha mazishi ya rafiki yetu aliyetutoka…

Kiongozi mmoja wa HAMAS auawa katika jela za Israel
SWAHILI NEWS

Kiongozi mmoja wa HAMAS auawa katika jela za Israel

MUKSININovember 16, 2024

Mmmoja wa viongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS, Samih Aliwi, aliuawa shahidi jana Ijumaa, Novemba 15,…

Haaretz: Zaidi ya Wazayuni 10,000 wameshakimbilia Canada mwaka huu kutokea Israel
SWAHILI NEWS

Haaretz: Zaidi ya Wazayuni 10,000 wameshakimbilia Canada mwaka huu kutokea Israel

MUKSININovember 16, 2024

Idadi ya walowezi wa Kizayuni wanaokimbilia Canada imeongezeka kwa kasi kutokana na vipigo inavyopata Israel kutoka kwa wanamapambano wa Lebanon…

Nigeria yaripoti vifo 15,000 vinavyohusiana na UKIMWI kila mwaka
SWAHILI NEWS

Nigeria yaripoti vifo 15,000 vinavyohusiana na UKIMWI kila mwaka

MUKSININovember 16, 2024

Nigeria inarekodi takriban vifo 15,000 vinavyohusiana na Ugonjwa wa Ukimwi kila mwaka licha ya juhudi za serikali za kukabiliana na…

Takriban magaidi 70 wenye mafungamano na Mossad wameuawa au kukamatwa kusini mashariki mwa Iran
SWAHILI NEWS

Takriban magaidi 70 wenye mafungamano na Mossad wameuawa au kukamatwa kusini mashariki mwa Iran

MUKSININovember 16, 2024

Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) limewaua au kuwakamata magaidi 69 wanaohusishwa na shirika la ujasusi…

Wasudani elfu 343 wamekimbia makazi yao, 503 wameuawa huko Al-Hilalia
SWAHILI NEWS

Wasudani elfu 343 wamekimbia makazi yao, 503 wameuawa huko Al-Hilalia

MUKSININovember 16, 2024

Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limetangaza kuwa mamia kwa maelfu ya watu wamekimbia kutoka Jimbo la Aljazira katikati mwa…

Jumamosi, 16 Novemba, 2024
SWAHILI NEWS

Jumamosi, 16 Novemba, 2024

MUKSININovember 16, 2024

Leo ni Jumamosi 14 Mfunguo Nane, Jamadul Awwal 1446 Hijria mwafaka na 16 Novemba 2024 Miladia. Siku kama ya leo…

Juhudi za Marekani za kuhalalisha jinai za Israel na kuendelea kuitumia silaha za mauaji ya umati
SWAHILI NEWS

Juhudi za Marekani za kuhalalisha jinai za Israel na kuendelea kuitumia silaha za mauaji ya umati

MUKSININovember 16, 2024

Vedant Patel, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, ametoa matamshi ambayo yanaonyesha kuwa Marekani haiko tayari kwa…

Viongozi wa dini wakosoa taratibu uchaguzi serikali za mitaa
WANANCHI NEWS

Viongozi wa dini wakosoa taratibu uchaguzi serikali za mitaa

MUKSININovember 15, 2024

Dar es Salaam. Viongozi wa dini nchini kwa nyakati tofauti wametoa kauli  kuhusu mwenendo wa mchakato wa uchaguzi wa serikali…

Kamuzora: Elimu bado inahitajika kujiunga mifuko ya uwekezaji
WANANCHI NEWS

Kamuzora: Elimu bado inahitajika kujiunga mifuko ya uwekezaji

MUKSININovember 15, 2024

Dar es Salaam. Licha mifuko ya uwekezaji kuwa na faida nyingi, kumekuwepo na mwitikio mdogo wa wananchi kujiunga nayo huku…

Shamim, mumewe wakwaa kisiki Mahakama ya Rufani
WANANCHI NEWS

Shamim, mumewe wakwaa kisiki Mahakama ya Rufani

MUKSININovember 15, 2024

Arusha. Mahakama ya Rufani imebariki adhabu ya kifungo cha maisha iliyotolewa kwa wanandoa, Shamim Mwasha na mumewe Abdul Nsembo waliohukumiwa…

Matumizi ya kuni, mkaa Yazidi kuweka hatarini maisha ya Watanzania
WANANCHI NEWS

Matumizi ya kuni, mkaa Yazidi kuweka hatarini maisha ya Watanzania

MUKSININovember 15, 2024

Dar es Salaam. Matumizi ya mkaa na kuni, mbali na kusababisha uharibifu wa mazingira, yametajwa pia kuwa chanzo cha magonjwa…

WANANCHI NEWS

Dk Nchimbi aongoza mazishi ya Katibu wa CCM Kilolo aliyeuawa

MUKSININovember 15, 2024

Iringa. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi ameungana na mamia ya waombolezaji katika mazishi ya aliyekuwa…

Wadau wahofu mgogoro kukinyemelea Chadema
WANANCHI NEWS

Wadau wahofu mgogoro kukinyemelea Chadema

MUKSININovember 15, 2024

Dar es Salaam. Ufafanuzi uliotolewa na Chadema ikikanusha kuwa na mpango wa kugawana madaraka maarufu ‘Nusu mkate’ umewaibua wadau wakionyesha…

Washitakiwa waomba wapelekwe Gereza la Keko
WANANCHI NEWS

Washitakiwa waomba wapelekwe Gereza la Keko

MUKSININovember 15, 2024

Dar es Salaam. Washitakiwa wawili waliofikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka manne ya kusafirisha kilo 19…

Uuzaji ardhi kiholela chachu uvamizi wa maeneo
WANANCHI NEWS

Uuzaji ardhi kiholela chachu uvamizi wa maeneo

MUKSININovember 15, 2024

Unguja. Kuuziana maeneo bila kushirikisha viongozi wa shehia, kumetajwa kuongeza uvamizi katika maeneo yaliyotengwa na Serikali kwa ajili ya miradi…

Kibano kwa wauzaji wa kemikali wasiosajiliwa
WANANCHI NEWS

Kibano kwa wauzaji wa kemikali wasiosajiliwa

MUKSININovember 15, 2024

Dar es Salaam. Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) imewataka wauzaji wakubwa wa kemikali kuacha kuwauzia wauzaji…

Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Mashambulizi ya Israel dhidi ya Gaza na Lebanon ni vita vya ukafiri dhidi ya kambi ya haki
SWAHILI NEWS

Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Mashambulizi ya Israel dhidi ya Gaza na Lebanon ni vita vya ukafiri dhidi ya kambi ya haki

MUKSININovember 15, 2024

Hatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amevitaja vita vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya watu…

Wawili Benki ya NBC kortini madai ya wizi , kutakatisha Sh390 milioni
WANANCHI NEWS

Wawili Benki ya NBC kortini madai ya wizi , kutakatisha Sh390 milioni

MUKSININovember 15, 2024

Dar es Salaam. Wafanyakazi Wawili wa Benki ya NBC, Johnson Kato (57) na Gasper Kimaro (30) wamefikishwa katika Mahakama ya…

Posts navigation

Older posts
Newer posts
Copyright © 2025 MALUMBANO DUNIANI | Link News by Ascendoor | Powered by WordPress.
  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us