Skip to content

MALUMBANO DUNIANI

Mizozo ya kijeshi duniani

  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us
Waungaji mkono wa Palestina waandamana Canada na kulaani jinai za Israel
SWAHILI NEWS

Waungaji mkono wa Palestina waandamana Canada na kulaani jinai za Israel

MUKSININovember 18, 2024

Mamia ya raia nchini Canada wameandamana katika mji mkuu Ottawa na kutangaza himaya na uungaji mkono wao kwa wananchi wa…

China yaibainishia Marekani mistari yake minne myekundu ambayo haipasi kuvukwa
SWAHILI NEWS

China yaibainishia Marekani mistari yake minne myekundu ambayo haipasi kuvukwa

MUKSININovember 18, 2024

Rais Xi Jinping wa China ameweka wazi mistari myekundu minne ambayo amesema haipasi kuvukwa na Marekani ili kuwepo uhusiano wenye…

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani atoa mwito wa uchunguzi wa mauaji ya kimbari Gaza
SWAHILI NEWS

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani atoa mwito wa uchunguzi wa mauaji ya kimbari Gaza

MUKSININovember 18, 2024

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani ametoa mwito wa kufanyika uchunguzi wa jamii ya kimataifa kuhusu “mauaji ya halaiki” ya utawala…

Bin Salman aakhirisha kushiriki mkutano wa G20 kwa matatizo ya kiafya
SWAHILI NEWS

Bin Salman aakhirisha kushiriki mkutano wa G20 kwa matatizo ya kiafya

MUKSININovember 18, 2024

Shirika la Habari la Bloomberg limetangaza kuwa, Mwanamfalme wa Saudia Mohammed bin Salman ameghairi safari yake iliyokuwa imepangwa ya kushiriki…

Human Rights Watch yakiri kuhusika utawala wa Kizayuni wa Israel na jinai za kivita
SWAHILI NEWS

Human Rights Watch yakiri kuhusika utawala wa Kizayuni wa Israel na jinai za kivita

MUKSININovember 18, 2024

Katika ripoti yake ya hivi karibuni zaidi, shirika la kuteteta haki za binadamu la Human Rights Watch kwa mara nyingine…

Jumatatu, 18 Novemba, 2024
SWAHILI NEWS

Jumatatu, 18 Novemba, 2024

MUKSININovember 18, 2024

Leo ni Jumatatu tarehe 16 Jamadul-Awwal 1446 Hijria mwafaka na tarehe 18 Novemba 2024. Siku kama ya leo miaka 1165 iliyopita…

Baada ya mabasi ni zamu ya malori, kuanza kwa SGR ya mizigo
WANANCHI NEWS

Baada ya mabasi ni zamu ya malori, kuanza kwa SGR ya mizigo

MUKSININovember 17, 2024

Dar es Salaam. Wachumi, wafanyabiashara na wamiliki wa malori nchini wameeleza mategemeo yao ya kuanza kwa usafirishaji wa mizigo kwa…

Afrika yawasilisha ombi la dharura COP-29, kukabili mabadiliko ya tabianchi
WANANCHI NEWS

Afrika yawasilisha ombi la dharura COP-29, kukabili mabadiliko ya tabianchi

MUKSININovember 17, 2024

Baku, Azerbaijan. Watetezi wa mabadiliko ya tabianchi kutoka Afrika wamewasilisha ombi kwenye Mkutano wa 29 wa Nchi Wanachama wa Mkataba…

Rais Samia: Vifo 13 jengo la Kariakoo, atoa maagizo kwa Majaliwa, Polisi
WANANCHI NEWS

Rais Samia: Vifo 13 jengo la Kariakoo, atoa maagizo kwa Majaliwa, Polisi

MUKSININovember 17, 2024

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema hadi saa 4:00 asubuhi ya leo Jumapili, Novemba 17, 2024 watu 13…

China yajitosa kuisaidia Tanzania kufikia malengo ya utalii
WANANCHI NEWS

China yajitosa kuisaidia Tanzania kufikia malengo ya utalii

MUKSININovember 17, 2024

Arusha. Serikali ya China imeahidi kuisaidia Tanzania kufikia lengo lake la kutembelewa na watalii milioni tano ifikapo 2025, sambamba na…

Haya ndiyo mambo anayotaka kocha mpya Yanga
WANANCHI NEWS

Haya ndiyo mambo anayotaka kocha mpya Yanga

MUKSININovember 17, 2024

Dar es Salaam. Yanga itaanza maisha rasmi kesho chini ya zama za kocha Sead Ramovic aliyekuja kuchukua nafasi ya Muargentina…

Ramovic, mastaa Yanga uso kwa uso
WANANCHI NEWS

Ramovic, mastaa Yanga uso kwa uso

MUKSININovember 17, 2024

Dar es Salaam. Wakati kocha mpya wa Yanga Sead Ramovic akitarajiwa kukutana na mastaa wake wa kikosi cha kwanza leo,…

WANANCHI NEWS

Tanzania yang’ara shindano ukuzaji ubunifu kwa watoto

MUKSININovember 17, 2024

Dar es Salaam. Tanzania yang’ara katika vipengele vya uvumbuzi na bunifu bora zilizofanywa na watoto katika mashindano ya kukuza ubunifu…

TLS: Tunarudi kwenye misingi na wajibu wetu kwa umma
WANANCHI NEWS

TLS: Tunarudi kwenye misingi na wajibu wetu kwa umma

MUKSININovember 17, 2024

Arusha. Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimeazimia kurejea kwenye misingi yake ya kuimarisha mchango wake kwa Taifa na wananchi katika…

VIDEO: Makonda asimulia ugumu alivyotenguliwa, teuliwa
WANANCHI NEWS

VIDEO: Makonda asimulia ugumu alivyotenguliwa, teuliwa

MUKSININovember 17, 2024

Arusha. “Nilipata taarifa za kuteuliwa na kutenguliwa usiku na ulikuwa usiku mrefu sana kwangu.” Haya ni maneno ya Mkuu wa…

WANANCHI NEWS

VIDEO: Makonda ajibu uhusika wake shambulio la Lissu

MUKSININovember 17, 2024

Arusha. Mkuu wa Mkoa wa Arusha (RC), Paul Makonda kwa mara ya kwanza amejibu tuhuma dhidi yake iliyomuhusisha katika shambulio…

Msemaji wa Hizbullah auawa shahidi katika shambulio la kinyama la Israel
SWAHILI NEWS

Msemaji wa Hizbullah auawa shahidi katika shambulio la kinyama la Israel

MUKSININovember 17, 2024

Mohammad Afif, afisa wa habari wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon ameuawa shahidi katika shambulio la…

Dosari za kisheria zasababisha kesi waliohukumiwa kitanzi kuanza moja
WANANCHI NEWS

Dosari za kisheria zasababisha kesi waliohukumiwa kitanzi kuanza moja

MUKSININovember 17, 2024

Arusha. Mahakama ya Rufani, imebatilisha mwenendo wa kesi na kufuta hukumu ya adhabu ya kunyongwa hadi kufa waliyokuwa wamehukumiwa wakazi…

ACT- Wazalendo yaja na mambo tisa ilani uchaguzi serikali za mitaa
WANANCHI NEWS

ACT- Wazalendo yaja na mambo tisa ilani uchaguzi serikali za mitaa

MUKSININovember 17, 2024

Dar es Salaam. Chama cha ACT- Wazalendo, kwa mara ya kwanza kimekuja na ilani yake ya uchaguzi wa serikali za…

Mwendokasi chanzo ajali iliyoua, kujeruhi 10 Geita
WANANCHI NEWS

Mwendokasi chanzo ajali iliyoua, kujeruhi 10 Geita

MUKSININovember 17, 2024

Geita. Mwendokasi na dereva wa gari binafsi aina ya Kluger kutozingatia sheria za usalama barabarani imetajwa kuwa chanzo cha ajali…

Maulamaa wa Kisunni Iran wawaandikia barua wenzao katika Ulimwengu wa Kiislamu kuhusu Vita vya Ghaza
SWAHILI NEWS

Maulamaa wa Kisunni Iran wawaandikia barua wenzao katika Ulimwengu wa Kiislamu kuhusu Vita vya Ghaza

MUKSININovember 17, 2024

Mamia ya Maulamaa mashuhuri wa Kisunni wa nchini Iran wametoa wito wa kuchukuliwa hatua za kivitendo na Maulamaa wa Ulimwengu…

JICHO LA MWEWE: Gamondi hajui kilichompiga, karibu Ramovic
WANANCHI NEWS

JICHO LA MWEWE: Gamondi hajui kilichompiga, karibu Ramovic

MUKSININovember 17, 2024

Iliwahi kumtokea Nasireddine Nabi. Iliwahi kuwatokea Djuma Shaban na Yannick Bangala. Unapigwa na kitu kizito usoni na haujui kimetokea wapi. Na…

Bima ya Sh130 milioni ilivyotumika kuokoa maisha ya watoto njiti
WANANCHI NEWS

Bima ya Sh130 milioni ilivyotumika kuokoa maisha ya watoto njiti

MUKSININovember 17, 2024

Dar es Salaam. Kufikiria kuuza ogani yake ya figo, nyumba na hata kujiua ni miongoni mwa suluhu zilizopita kichwani mwa…

Israel yafanya mauaji mengine ya halaiki Ghaza, yawaua shahidi Wapalestina wasiopungua 96
SWAHILI NEWS

Israel yafanya mauaji mengine ya halaiki Ghaza, yawaua shahidi Wapalestina wasiopungua 96

MUKSININovember 17, 2024

Wapalestina wasiopungua 96 wameuawa shahidi na wengine 60 wamejeruhiwa katika mashambulizi ya kinyama ya anga yaliyofanywa leo na jeshi la…

Anko Kitime: Miaka 59 kifo cha Salum Abdallah, nyimbo zake bado zinaishi 
WANANCHI NEWS

Anko Kitime: Miaka 59 kifo cha Salum Abdallah, nyimbo zake bado zinaishi 

MUKSININovember 17, 2024

Dar es Salaam. Kwanza kabisa nianze kwa kuomba msamaha kwa makosa mawili yaliyojitokeza katika makala iliyopita ya Simulizi za Muziki.…

Katika muda wa siku moja, jeshi la Kizayuni lafanya mashambulio 145 nchini Lebanon
SWAHILI NEWS

Katika muda wa siku moja, jeshi la Kizayuni lafanya mashambulio 145 nchini Lebanon

MUKSININovember 17, 2024

Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limefanya mashambulizi 145 nchini Lebanon katika muda wa saa 24 zilizopita huku likishaidisha…

Kuongezeka kwa maandamano barani Ulaya dhidi ya jinai za Wazayuni
SWAHILI NEWS

Kuongezeka kwa maandamano barani Ulaya dhidi ya jinai za Wazayuni

MUKSININovember 17, 2024

Kuendelea kwa jinai za Wazayuni katika Ukanda wa Gaza na Lebanon kumepelekea kupanuka uungaji mkono kwa Palestina na chuki dhidi…

Mamilioni ya Wasenegal wameelekea vituo vya kupigia kura kuchagua Bunge jipya
SWAHILI NEWS

Mamilioni ya Wasenegal wameelekea vituo vya kupigia kura kuchagua Bunge jipya

MUKSININovember 17, 2024

Wasenegal leo wamepiga kura katika uchaguzi wa Bunge ambao utaamua kama rais mpya wa nchi hiyo Bassirou Diomaye Faye ataweza…

Mabinti wa Malcolm X waishtaki Polisi, FBI na CIA kwa kumuua baba yao ‘kwa kukusudia’
SWAHILI NEWS

Mabinti wa Malcolm X waishtaki Polisi, FBI na CIA kwa kumuua baba yao ‘kwa kukusudia’

MUKSININovember 17, 2024

Mabinti wa Malcolm X wamechukua hatua za kisheria za kulishtaki jeshi la Polisi la Marekani, Polisi ya Upelelezi (FBI) na…

DJ aliyemjaza mimba mwanafunzi afutiwa kifungo cha miaka 30, kutumikia mitano
WANANCHI NEWS

DJ aliyemjaza mimba mwanafunzi afutiwa kifungo cha miaka 30, kutumikia mitano

MUKSININovember 17, 2024

Sumbawanga. Mahakama ya Rufani, imemfutia kifungo cha miaka 30 jela, alichoadhibiwa mchezeshaji musiki (DJ), Sokolo Richard kwa kosa la kumpa…

Nabi atoboa siri ya kocha mpya Yanga
WANANCHI NEWS

Nabi atoboa siri ya kocha mpya Yanga

MUKSININovember 17, 2024

Dar es Salaam. Mashabiki wa Yanga wanasubiri kuiona timu yao ikianza maisha mapya bila ya Miguel Gamondi ambaye ndoa yake…

VIDEO: Aliyezushiwa kifo Kariakoo afunguka mbinu walizotumia
WANANCHI NEWS

VIDEO: Aliyezushiwa kifo Kariakoo afunguka mbinu walizotumia

MUKSININovember 17, 2024

Dar es Salaam. Mfanyabiashara Hassan Yahya Mwampamba, ambaye awali alizushiwa kupoteza maisha ndani ya jengo la ghorofa nne lililoporomoka jana…

Aliyezushiwa kifo Kariakoo afunguka mbinu walizotumia
WANANCHI NEWS

Aliyezushiwa kifo Kariakoo afunguka mbinu walizotumia

MUKSININovember 17, 2024

Dar es Salaam. Mfanyabiashara Hassan Yahya Mwampamba, ambaye awali alizushiwa kupoteza maisha ndani ya jengo la ghorofa nne lililoporomoka jana…

Serikali kortini kwa kiwanja alichomilikishwa hayati Sokoine
WANANCHI NEWS

Serikali kortini kwa kiwanja alichomilikishwa hayati Sokoine

MUKSININovember 17, 2024

Dar es Salaam. Mfanyabiashara Al- Hussein  Dhanani ameiburuza mahakamani Serikali na Balozi Joseph Edward Sokoine,  mtoto na mwakilishi wa aliyewahi…

Siku tisa kuelekea uchaguzi, zinahitaji haya
WANANCHI NEWS

Siku tisa kuelekea uchaguzi, zinahitaji haya

MUKSININovember 17, 2024

Dar es Salaam. Wakati sekunde zikizidi kuyoyoma, saa zikikimbia na siku tisa tu zikisalia kabla ya Watanzania kuelekea kupiga kura…

WANANCHI NEWS

Walalama bonde la kilimo kugeuzwa machimbo ya mchanga

MUKSININovember 17, 2024

Unguja. Wakazi wa Bonde la Donge Jangwani, Mkoa wa Kaskazini Unguja, wamelalamika kupokonywa mashamba yao waliokuwa wakiyatumia kwa kilimo badala…

WANANCHI NEWS

Mmoja afariki, 10 wajeruhiwa ajali ya magari kugongana Geita

MUKSININovember 17, 2024

Geita. Mtu mmoja ambae jina lake halijafahamika amepoteza maisha na wengine 10 kujeruhiwa katika ajali ya iliyohusisha gari dogo na…

Huu ndio ugonjwa uliosababisha kifo cha mwigizaji Fredy
WANANCHI NEWS

Huu ndio ugonjwa uliosababisha kifo cha mwigizaji Fredy

MUKSININovember 17, 2024

Dar es Salaam. Kufuatia kifo cha mwigizaji Fredy Kiluswa kilichotokea jana Novemba 16,2024 katika hospitali ya rufaa Mloganzila, mwongozaji msaidizi…

WANANCHI NEWS

Je, wajua mapenzi yao yalianzia wapi?

MUKSININovember 17, 2024

Dar es Salaam. Mbali na sanaa, kitu kingine msanii anachouza kwa hadhira yake ni mtindo wake wa maisha, na hapa…

Jenerali wa Nigeria: Magaidi, waasi barani Afrika wanatumia silaha za Israel
SWAHILI NEWS

Jenerali wa Nigeria: Magaidi, waasi barani Afrika wanatumia silaha za Israel

MUKSININovember 17, 2024

Jenerali mstaafu wa jeshi la Nigeria ambaye alikwenda katika nchi kadhaa za Afrika zikiwemo Mali na Liberia kwa ajili ya…

Euro-Med Human Rights Monitor: Israel inanyonga raia wa kaskazini mwa Gaza
SWAHILI NEWS

Euro-Med Human Rights Monitor: Israel inanyonga raia wa kaskazini mwa Gaza

MUKSININovember 17, 2024

Shirika la kutetea haki za binadamu la Euro-Med limesema kwamba limesajili makumi ya kesi za mauaji ya kukusudia na vitendo…

Makazi ya Netanyahu yarushiwa moto, inadhaniwa ni hujuma ya wapinzani wake wa ndani
SWAHILI NEWS

Makazi ya Netanyahu yarushiwa moto, inadhaniwa ni hujuma ya wapinzani wake wa ndani

MUKSININovember 17, 2024

Mapema usiku wa kuamkia leo, moto umerushwa katika makazi ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, huko Caesarea, tukio lililoelezwa…

Waandishi habari Sudan wanatangatanga, vita vimewalazimisha wengine kuacha kazi
SWAHILI NEWS

Waandishi habari Sudan wanatangatanga, vita vimewalazimisha wengine kuacha kazi

MUKSININovember 17, 2024

Baada ya vita vya zaidi ya miezi 18 nchini Sudan kati ya jeshi la taifa na Vikosi vya Msaada wa…

Araghchi: Wamagharibi wameonyesha nia ya kuanza tena mazungumzo ya nyuklia
SWAHILI NEWS

Araghchi: Wamagharibi wameonyesha nia ya kuanza tena mazungumzo ya nyuklia

MUKSININovember 17, 2024

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araqchi, amesema kuwa hivi sasa nchi za Ulaya zinaonyesha nia ya…

Guinea inavyoshikilia tiketi ya Stars Afcon 2025
WANANCHI NEWS

Guinea inavyoshikilia tiketi ya Stars Afcon 2025

MUKSININovember 17, 2024

Dar es Salaam. Ushindi wa bao 1-0 wa Guinea dhidi ya DR Congo umeweka kundi H la kufuzu kwa AFCON…

Waziri wa Ulinzi wa Iran akutana na mwenzake wa Syria
SWAHILI NEWS

Waziri wa Ulinzi wa Iran akutana na mwenzake wa Syria

MUKSININovember 17, 2024

Waziri wa Ulinzi wa Iran, Brigedia Jenerali Azizi Nasirzadeh, ambaye yuko ziarani nchini Syria, amekutana na na kufanya mazungumzo na…

Tafakari haya unapotafuta msaidizi wa kulea wanao
WANANCHI NEWS

Tafakari haya unapotafuta msaidizi wa kulea wanao

MUKSININovember 17, 2024

Wasaidizi wa nyumbani, maarufu kama ‘house girl’ ni watoto au vijana wadogo waliokulia katika mazingira ya kawaida, hasa ya kijijini.…

Wananchi wapewe elimu ya bima kujinasua na majanga
WANANCHI NEWS

Wananchi wapewe elimu ya bima kujinasua na majanga

MUKSININovember 17, 2024

Wakulima takribani 195 wa mpunga wamefufua matumaini ya kuendelea na msimu mwingine wa kilimo, baada ya kupokea fidia ya Sh110.7…

Hizi hapa tabia zitakazokuwezesha kuwa na furaha maishani
WANANCHI NEWS

Hizi hapa tabia zitakazokuwezesha kuwa na furaha maishani

MUKSININovember 17, 2024

Kila mmoja wetu maishani huhangaika kwa namna yoyote ile kuhakikisha anakuwa na furaha. Wengine wala hawajali kama atatumia njia nzuri…

‘Nizalie nitakuoa’ neno lililozima ndoto za wengi
WANANCHI NEWS

‘Nizalie nitakuoa’ neno lililozima ndoto za wengi

MUKSININovember 17, 2024

Dar es Salaam. Unaweza kujiona mwenye kismati na bahati ya kipekee katika dunia hii yenye wanawake zaidi ya bilioni 4,…

Posts navigation

Older posts
Newer posts
Copyright © 2025 MALUMBANO DUNIANI | Link News by Ascendoor | Powered by WordPress.
  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us