Skip to content

MALUMBANO DUNIANI

Mizozo ya kijeshi duniani

  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us
Asimulia alivyokwama kwa saa 72 chini ya kifusi Kariakoo
WANANCHI NEWS

Asimulia alivyokwama kwa saa 72 chini ya kifusi Kariakoo

MUKSININovember 19, 2024

Dar es Salaam. Mfanyabiashara wa soko la Kariakoo, Benedicto Mwanalingo (26) mkazi wa Buguruni Malapa jijini Dar es Salaam amesimulia…

Dk Dimwa: CCM imejipanga uchaguzi Serikali za mitaa
WANANCHI NEWS

Dk Dimwa: CCM imejipanga uchaguzi Serikali za mitaa

MUKSININovember 19, 2024

Katavi. Mlezi wa Mkoa wa Katavi na Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dk Mohamed Said Dimwa,…

Makonda asisitiza amani uchaguzi Serikali za mitaa
WANANCHI NEWS

Makonda asisitiza amani uchaguzi Serikali za mitaa

MUKSININovember 19, 2024

Arusha. Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amewaomba viongozi wa dini mkoani hapa watumie nafasi zao kuhamasisha waumini kujitokeza…

Fredy wa Bongo Movie azikwa makaburi ya Kinondoni
WANANCHI NEWS

Fredy wa Bongo Movie azikwa makaburi ya Kinondoni

MUKSININovember 19, 2024

Dar es Salaam. Mwili wa mwigizaji wa Bongo Movie Fredy Kiluswa aliyefariki dunia Novemba 16, 2024 wakati akipatiwa matibabu kwenye…

Mahakama yapokea vielelezo kesi ya mauaji ya Salome
WANANCHI NEWS

Mahakama yapokea vielelezo kesi ya mauaji ya Salome

MUKSININovember 19, 2024

Geita. Mahakama Kuu Kanda ya Geita, imepokea vielelezo vinne vilivyotolewa na upande wa jamhuri katika kesi ya mauaji inayomkabili Fikiri…

WANANCHI NEWS

Ubomoaji holela Kariakoo unavyoathiri kiafya wananchi

MUKSININovember 19, 2024

Dar es Salaam. Wakati ubomoaji usiofuata sheria ukikoleza hatari za kiusalama katika eneo la Kariakoo, Dar es Salaam, afya za…

Kuendelea vitendo vya uhasama vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Iran
SWAHILI NEWS

Kuendelea vitendo vya uhasama vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Iran

MUKSININovember 19, 2024

Katika kuendeleza hatua zake za kiuadui dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Jumatatu ya jana tarehe 18 Novemba Umoja…

Wachimbaji wadogo waomba mashine za kuchimba
WANANCHI NEWS

Wachimbaji wadogo waomba mashine za kuchimba

MUKSININovember 19, 2024

Dar es Salaam. Shirikisho la Chama cha Wachimbaji Wadogo wa Madini Tanzania (Femata), limeiomba Serikali mashine za kuchimba ambazo kwa…

Uchaguzi Serikali za mitaa; Mbowe atoa msimamo wa Chadema
WANANCHI NEWS

Uchaguzi Serikali za mitaa; Mbowe atoa msimamo wa Chadema

MUKSININovember 19, 2024

Dar es Salaam. Wakati kesho Jumatano Novemba 20, 2024 pazia la kampeni za kuwania uongozi katika uchaguzi Serikali za mitaa,…

Aliyeingia Tanzania bila kibali, atozwa faini ya Sh1 milioni
WANANCHI NEWS

Aliyeingia Tanzania bila kibali, atozwa faini ya Sh1 milioni

MUKSININovember 19, 2024

Dar es Salaam. Raia wa India, Devanshu Dusad (24) amehukumiwa kulipa faini ya Sh1 milioni au kutumikia kifungo cha miaka…

Diva, Niffer kuhojiwa na Polisi Dar wakituhumiwa kuchangisha fedha
WANANCHI NEWS

Diva, Niffer kuhojiwa na Polisi Dar wakituhumiwa kuchangisha fedha

MUKSININovember 19, 2024

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi linawashikilia kwa mahojiano ya kina Diva Malinzi (36) na Jenifer Jovin (25) maarufu Niffer…

Kiongozi Muadhamu: Tutaendelea kuwa pamoja na wananchi wa Lebanon na Muqawama
SWAHILI NEWS

Kiongozi Muadhamu: Tutaendelea kuwa pamoja na wananchi wa Lebanon na Muqawama

MUKSININovember 19, 2024

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe wa maneno kwa ajili ya wananchi na viongozi wa Lebanon walioko kwenye…

Siku ya Utamaduni wa Washirazi yaadhimishwa nchini Tanzania
SWAHILI NEWS

Siku ya Utamaduni wa Washirazi yaadhimishwa nchini Tanzania

MUKSININovember 19, 2024

Balozi wa Iran nchini Tanzania ameshiriki katika Siku ya Utamaduni wa Washirazi iliyofanyika jijini Dar es Salaam ili kuzidi kutia…

UNRWA: Hakuna taasisi yoyote inayoweza kujaza nafasi yetu Ghaza
SWAHILI NEWS

UNRWA: Hakuna taasisi yoyote inayoweza kujaza nafasi yetu Ghaza

MUKSININovember 19, 2024

Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) amesema kuwa, hakuna taasisi yoyote inayoweza kujaza…

Wahamiaji 604 walizuiwa kuendelea na safari kwenye pwani ya Libya wiki iliyopita
SWAHILI NEWS

Wahamiaji 604 walizuiwa kuendelea na safari kwenye pwani ya Libya wiki iliyopita

MUKSININovember 19, 2024

Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limetangaza kuwa, wahamiaji 604 walikamatwa na kurudishwa nje ya pwani ya Libya wiki moja…

Watu 3 wauawa katika shambulizi la wanaotaka kujitenga nchini Cameroon
SWAHILI NEWS

Watu 3 wauawa katika shambulizi la wanaotaka kujitenga nchini Cameroon

MUKSININovember 19, 2024

Takriban watu watatu yaani mwanajeshi mmoja na raia wawili wameuawa katika shambulio la watu wanaotaka kujitenga kwenye eneo linalotokea vita…

Mabeki Stars chunga sana mtu huyu
WANANCHI NEWS

Mabeki Stars chunga sana mtu huyu

MUKSININovember 19, 2024

Serhou Guirassy, amekuwa mchezaji muhimu akiibeba Guinea kwenye michuano ya kufuzu Afcon 2025, akiwa amefunga mabao sita katika mechi tatu…

Ngoma hizi ziliwatambulisha wasanii hawa….
WANANCHI NEWS

Ngoma hizi ziliwatambulisha wasanii hawa….

MUKSININovember 19, 2024

Dar es Salaam. Tasnia ya muziki wa Bongo Fleva imejaa vipaji vingi kutoka kwa wasanii tofauti tofauti, ambao kila mmoja…

Chiesa ageuka mzigo Liverpool
WANANCHI NEWS

Chiesa ageuka mzigo Liverpool

MUKSININovember 19, 2024

Liverpool, England. Maisha ndani ya Liverpool yanaelekea kuwa mafupi kwa Federico Chiesa kufuatia ripoti kuwa timu hiyo itamtoa kwa mkopo…

WANANCHI NEWS

Vilio vyatawala Leaders mwili wa mwigizaji Fredy ukiingizwa

MUKSININovember 19, 2024

Dar es Salaam.Simanzi na vilio vyatawala viwanja vya Leaders Club baada ya  waombolezaji kushindwa kujizuia mara baada ya kuona mwili…

Hatima maduka yaliyofungwa Kariakoo ipo hivi
WANANCHI NEWS

Hatima maduka yaliyofungwa Kariakoo ipo hivi

MUKSININovember 19, 2024

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Wafanyabiashara wa Kariakoo, Martine Mbwana amesema maduka kwenye mitaa iliyopo pembezoni mwa ghorofa lililoporomoka yatafunguliwa…

Miili tisa yahifadhiwa Amana, wengine wawili waokolewa Kariakoo
WANANCHI NEWS

Miili tisa yahifadhiwa Amana, wengine wawili waokolewa Kariakoo

MUKSININovember 19, 2024

Dar es Salaam. Miili tisa kati ya 15 iliyoagwa katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jana Jumatatu, Novemba 18, 2024 imehifadhiwa…

WANANCHI NEWS

Vyoo bora, maji safi na usafi wa mazingira ni msingi wa ustawi wa afya ya jamii

MUKSININovember 19, 2024

Upatikanaji wa vyoo bora na maji safi na salama kunatajwa kama moja ya huduma bora ambazo binadamu anazihitaji katika mazingira…

Kuuawa Mohammad Afif; kukiri Israel kwamba nguvu ya vyombo vya habari vya Hizbullah ni ‘chungu’
SWAHILI NEWS

Kuuawa Mohammad Afif; kukiri Israel kwamba nguvu ya vyombo vya habari vya Hizbullah ni ‘chungu’

MUKSININovember 19, 2024

Parstoday- Mtaalamu wa masuala ya kimataifa na mtumiaji wa mtandao wa kijamii wa X, ameitambua hatua ya utawala wa Kizayuni…

Mechi za mwisho zinavyoibeba Stars kufuzu Afcon
WANANCHI NEWS

Mechi za mwisho zinavyoibeba Stars kufuzu Afcon

MUKSININovember 19, 2024

Timu ya taifa ya Tanzania,Taifa Stars, itashuka dimbani leo Novemba 19, 2024 dhidi ya Guinea kwenye mchezo wa mwisho wa…

Mwanafunzi asimulia alivyokwama saa 24 ndani ya kifusi Kariakoo
WANANCHI NEWS

Mwanafunzi asimulia alivyokwama saa 24 ndani ya kifusi Kariakoo

MUKSININovember 19, 2024

Dar es Salaam. Mwanafunzi wa kidato cha nne Jackson Clement amesimulia namna alivyokwama chini ya kifusi kwa saa 24, wakati…

Jinsi mshtakiwa anayedaiwa kumuua mkewe alivyotoa ushirikiano
WANANCHI NEWS

Jinsi mshtakiwa anayedaiwa kumuua mkewe alivyotoa ushirikiano

MUKSININovember 19, 2024

Dar es Salaam. Shahidi wa 13, Ditektivu Sagenti Samweli, akiongozwa na mwendesha mashitaka, Wakili wa Serikali Mkuu, Yasinta Peter, ameieleza…

Onyo la duru za kiusalama za Israel kwa Netanyahu
SWAHILI NEWS

Onyo la duru za kiusalama za Israel kwa Netanyahu

MUKSININovember 19, 2024

Duru za usalama za utawala wa Kizayuni zimemtumia ripoti waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netnyahu, na kumuonya kuhusu nguvu za…

Polisi wamrudisha Niffer Dar baada ya kujisalimisha
WANANCHI NEWS

Polisi wamrudisha Niffer Dar baada ya kujisalimisha

MUKSININovember 19, 2024

Dodoma. Jeshi la Polisi limemsafirisha kwenda jijini Dar es Salaam mfanyabiashara wa mtandaoni, Jenifer Jovin maarufu Niffer baada ya kujisalimisha…

Mgogoro wa hali ya hewa wachukua nafasi kubwa katika mkutano wa G20 nchini Brazil
SWAHILI NEWS

Mgogoro wa hali ya hewa wachukua nafasi kubwa katika mkutano wa G20 nchini Brazil

MUKSININovember 19, 2024

Migogoro ya hali ya hewa na vita nchini Ukraine na Mashariki ya Kati ilichukua nafasi kubwa katika siku ya kwanza…

Kanisa Katoliki lakataa mchango wa Ruto, kutumika kisiasa
WANANCHI NEWS

Kanisa Katoliki lakataa mchango wa Ruto, kutumika kisiasa

MUKSININovember 19, 2024

Nairobi. Jimbo Kuu Katoliki la Nairobi limekataa na kurejesha mchango wa fedha kutoka kwa kwa Rais William Ruto na Gavana…

Ombi la Antonio Guterres la kuzuia kuongezeka mivutano katika vita vya Ukraine
SWAHILI NEWS

Ombi la Antonio Guterres la kuzuia kuongezeka mivutano katika vita vya Ukraine

MUKSININovember 19, 2024

Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kuzuia kuongezeka mapigano nchini Ukraine. Kwa mujibu wa ripoti…

Wakuu wa IRIB watoa salamu za rambirambi baada ya kuuawa shahidi msemaji wa Hizbullah
SWAHILI NEWS

Wakuu wa IRIB watoa salamu za rambirambi baada ya kuuawa shahidi msemaji wa Hizbullah

MUKSININovember 19, 2024

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB), Peyman Jebelli, na Mkuu wa Kitengo cha…

Balozi mpya wa Kenya akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran
SWAHILI NEWS

Balozi mpya wa Kenya akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran

MUKSININovember 19, 2024

Balozi mpya wa Kenya nchini Iran amekutana na Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na…

Radiamali ya Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Tehran kwa mashambulio ya Israel dhidi ya nyumba za Walebanon
SWAHILI NEWS

Radiamali ya Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Tehran kwa mashambulio ya Israel dhidi ya nyumba za Walebanon

MUKSININovember 19, 2024

Pars Today- Mhadhiri mmoja wa Kiirani ameashiria mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya raia wa Gaza na…

Mhandisi Muirani ajiuzulu Google kulamikia ushirikiano wa kampuni hiyo na Israel katika mauaji ya kimbari Gaza
SWAHILI NEWS

Mhandisi Muirani ajiuzulu Google kulamikia ushirikiano wa kampuni hiyo na Israel katika mauaji ya kimbari Gaza

MUKSININovember 19, 2024

Mhandisi wa program za kompyuta wa Iran, Alireza Zakeri ametangaza kujiuzulu kutoka shirika la Google kutokana na ushirikiano wa kampuni…

Hizbullah yashambulia Tel Aviv kwa makombora ya balestiki
SWAHILI NEWS

Hizbullah yashambulia Tel Aviv kwa makombora ya balestiki

MUKSININovember 19, 2024

Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon inaendelea kutumia mkakati wake wa kujihami wa “Moto Kwa Moto, Beirut kwa Tel…

Iran: Mkuu wa vyombo vya habari wa Hizbullah aliyeuawa shahidi alikuwa “sauti kubwa” ya Lebanon
SWAHILI NEWS

Iran: Mkuu wa vyombo vya habari wa Hizbullah aliyeuawa shahidi alikuwa “sauti kubwa” ya Lebanon

MUKSININovember 19, 2024

Iran imelaani vikali mauaji ya msemaji wa Hizbullahh Mohammad Afif katika shambulio la Israel lililolenga jengo moja katikati mwa Beirut,…

Sababu za ufaulu kuimarika Zanzibar
WANANCHI NEWS

Sababu za ufaulu kuimarika Zanzibar

MUKSININovember 19, 2024

Unguja. Kwa kipindi cha nyuma, shule za Zanzibar zilikuwa zikifanya vibaya kwenye mitihani ya kitaifa, lakini sasa hali imebadilika huku…

Washauri mfumo wa elimu unaohimili majanga Afrika
WANANCHI NEWS

Washauri mfumo wa elimu unaohimili majanga Afrika

MUKSININovember 19, 2024

Dar es Salaam. Wakati mataifa mbalimbali barani Afrika yakiendelea kufanya uwekezaji katika sekta ya elimu, wito umetolewa kwa nchi hizo…

161,020 wakacha mtihani kidato cha nne
WANANCHI NEWS

161,020 wakacha mtihani kidato cha nne

MUKSININovember 19, 2024

Mpango wa elimu bila malipo uliobuniwa na Serikali umelenga kupanua fursa za elimu kwa watoto wote nchini. Hata hivyo, takwimu…

Mwenyekiti wa Kamati ya UN: Vita vya Israel Ghaza vinaturejesha ‘zama za ushenzi usio na udhibiti’
SWAHILI NEWS

Mwenyekiti wa Kamati ya UN: Vita vya Israel Ghaza vinaturejesha ‘zama za ushenzi usio na udhibiti’

MUKSININovember 19, 2024

Mwenyekiti wa Kamati Maalumu ya Umoja wa Mataifa ya Kuchunguza Mienendo ya Israel Palestina (SCIIP) amesema, vita vya utawala wa…

Iran: Uingereza inashiriki katika mauaji Gaza kwa kukana mauaji ya kimbari ya Israel
SWAHILI NEWS

Iran: Uingereza inashiriki katika mauaji Gaza kwa kukana mauaji ya kimbari ya Israel

MUKSININovember 19, 2024

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baghaei, ameikosoa Uingereza kwa kukanusha mauaji ya kimbari yanayoendelea huko…

Wanajeshi 30 wa Kizayuni waangamizwa kaskazini mwa Ukanda wa Gaza
SWAHILI NEWS

Wanajeshi 30 wa Kizayuni waangamizwa kaskazini mwa Ukanda wa Gaza

MUKSININovember 19, 2024

Kwa akali wanajeshi 30 wa utawala haramu wa Israel wameangamizwa na wanamuqawama kaskazini mwa Ukanda wa Gaza katika majuma ya…

Waziri Tuggar: Nigeria inaunga mkono juhudi za ukombozi wa Palestina
SWAHILI NEWS

Waziri Tuggar: Nigeria inaunga mkono juhudi za ukombozi wa Palestina

MUKSININovember 19, 2024

Yusuf Maitama Tuggar, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Nigeria amesema kuwa nchi yake ingali inaunga mkono juhudi za kisiasa…

Wananchi wa Gabon wapasisha katiba mpya kupitia kura ya maoni
SWAHILI NEWS

Wananchi wa Gabon wapasisha katiba mpya kupitia kura ya maoni

MUKSININovember 19, 2024

Wananchi wa Gabon wamepasisha katiba mpya ya nchi hiyo kwa wingi wa kura katika zoezi la kura ya maoni lililofanyika…

Jebeli: Ulimwengu unashuhudia kuporomoka kwa utawala bandia wa Kizayuni
SWAHILI NEWS

Jebeli: Ulimwengu unashuhudia kuporomoka kwa utawala bandia wa Kizayuni

MUKSININovember 19, 2024

Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) amesema kuwa, hata wananchi wa Ulaya pia wametambua…

Jumanne, 19 Novemba, 2024
SWAHILI NEWS

Jumanne, 19 Novemba, 2024

MUKSININovember 19, 2024

Leo ni Jumanne tarehe 17 Mfunguo Nane Jamadul-Awwal 1446 Hijria inayosadifiana na tarehe 19 Novemba 2024. Siku kama ya leo…

Mtoto anusurika kifo akidaiwa kunyweshwa sumu
WANANCHI NEWS

Mtoto anusurika kifo akidaiwa kunyweshwa sumu

MUKSININovember 18, 2024

Musoma. Mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka mitano amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mara, akidaiwa kunyweshwa…

WANANCHI NEWS

Mama aliyezaa watoto 15 afariki dunia, watoto wajilea baba aomba msaada

MUKSININovember 18, 2024

Morogoro. Mama aliyezaa watoto 15, Neema Kenge (39) mkazi Mtaa wa Mgonahazeru Manispaa ya Morogoro, amefariki dunia baada ya kuugua…

Posts navigation

Older posts
Newer posts
Copyright © 2025 MALUMBANO DUNIANI | Link News by Ascendoor | Powered by WordPress.
  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us