Wizara ya Habari ya Somalia imetangaza kuwa vikosi vya jeshi vikishirikiana na vikosi vingine vya ndani vimewaua wanamgambo wapatao 70 wa kundi la kigaidi la Al-Shabaab katika operesheni ya mashambulizi viliyotekeleza jana Jumanne katika maeneo kadhaa ya jimbo la Hirshabelle kusini mwa katikati ya nchi hiyo.
Related Posts
Ushiriki wa Nigeria katika BRICS ni muhimu, kwa nini?
Uanachama wa Nigeria katika shirika la BRICS, kama “nchi mshirika” na yenye uchumi mkubwa zaidi katika bara la Afrika, ni…
Uanachama wa Nigeria katika shirika la BRICS, kama “nchi mshirika” na yenye uchumi mkubwa zaidi katika bara la Afrika, ni…
Watu 25 wauawa katika mapigano mashariki mwa DRC; M23 wadai kuidhibiti Goma
Zaidi ya watu 22 wameuawa na mamia ya wengine kujeruhiwa wakati wa mapigano kati ya waasi wa M23 na vikosi…
Zaidi ya watu 22 wameuawa na mamia ya wengine kujeruhiwa wakati wa mapigano kati ya waasi wa M23 na vikosi…
Balozi wa UN aionya US kuiweka Ansarullah kwenye orodha ya magaidi
Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Yemen, Hans Grundberg ameonya kuhusu athari mbaya za Marekani kuitambua Harakati…
Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Yemen, Hans Grundberg ameonya kuhusu athari mbaya za Marekani kuitambua Harakati…