Onyo la Marekani kuhusu kurejea nyuma katika mazungumzo ya vita vya Ukraine

Marco Rubio Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani ametangaza kuwa, Rais Donald Trump atajiondoa katika juhudi za kupatanisha makubaliano ya amani kati ya Russia na Ukraine ndani ya siku chache zijazo isipokuwa kama kutakuwa na dalili za wazi kwamba makubaliano yanaweza kufikiwa.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *