Katika mazingira ya kuongezeka kwa vita vya kisaikolojia vinavyoendeshwa na Marekani pamoja na utawala wa Kizayuni, na vitisho vya mara kwa mara kutoka kwa Donald Trump na maafisa waandamizi wa usalama wa utawala wake huko Washington kuhusu uwezekano wa kushambulia Iran iwapo kutakosekana makubaliano kuhusu suala la nyuklia, Tehran imetoa onyo kali kwa Marekani na Israel kuhusu madhara makubwa ya hatua yoyote ya kijeshi dhidi ya Iran.
Related Posts
RSF: Palestina ni eneo hatari zaidi kwa waandishi wa habari kutokana na ukatili wa Israel
Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani imeadhimishwa Mei 3 huku waandishi wa habari wa Palestina wakiendelea kufanya kazi…
Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani imeadhimishwa Mei 3 huku waandishi wa habari wa Palestina wakiendelea kufanya kazi…
Ijumaa, tarehe 16 Mei, 2025
Leo ni Ijumaa tarehe 18 Dhilqaada 1446 Hijria sawa na tarehe 16 Mei mwaka 2025. Post Views: 10
Leo ni Ijumaa tarehe 18 Dhilqaada 1446 Hijria sawa na tarehe 16 Mei mwaka 2025. Post Views: 10
Mamia wauawa na kujeruhiwa katika shambulio la RSF kwenye kambi ya Zamzam
Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan na mashirika ya misaada ya kibinadamu yamesema kuwa mamia ya watu wameuawa na…
Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan na mashirika ya misaada ya kibinadamu yamesema kuwa mamia ya watu wameuawa na…