Brice Oligui Nguema, kiongozi wa serikali ya mpito ya Gabon na mwanajeshi aliyeongoza mapinduzi ya mwaka 2023, amepata ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa rais wa nchi hiyo wa 90.35% ya kura. Hayo ni kwa mujibu wa matokeo ya awali yaliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Ndani jana Jumapili.
Related Posts

Houthi: Vita dhidi ya utawala wa Kizayuni katika kilele chake baada ya mauaji
Houthi: Vita dhidi ya utawala wa Kizayuni katika kilele chake baada ya mauaji Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Ansarullah…
Houthi: Vita dhidi ya utawala wa Kizayuni katika kilele chake baada ya mauaji Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Ansarullah…
Iran: Vitisho vya US vinakinzana na wito wake wa diplomasia
Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amekosoa lugha ya vitisho dhidi ya Tehran, akisisitiza kuwa nchi hii iko tayari kufanya mazungumzo…
Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amekosoa lugha ya vitisho dhidi ya Tehran, akisisitiza kuwa nchi hii iko tayari kufanya mazungumzo…
Washington Post: Ushuru wa kihistoria wa Trump kwa China unaathiri uchumi wa Marekani na dunia
Gazeti la Washington Post limeandika kuwas: Athari za ushuru wa kihistoria uliowekwa na Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya…
Gazeti la Washington Post limeandika kuwas: Athari za ushuru wa kihistoria uliowekwa na Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya…