OIC yalaani hatua ya Marekani dhidi ya shirika la UNRWA

Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC imelaani vikali uamuzi wa serikali ya Marekani wa kuliondolea kinga ya kisheria Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi Wapalestina (UNRWA).

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *