OCHA: Mamilioni ya watu wameendelea kutoroka makazi yao nchini DRC

Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) imesema kuwa, mamilioni ya watu wanaendelea kuyahama makazi yao Kivu Kaskazini na Kivu Kusini katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.