
KIPA wa Fountain Gate raia wa Nigeria, John Noble ameitwa Kamati ya Maadili ya klabu hiyo, kwa lengo la kuhojiwa kutokana na makosa mawili aliyofanya ya kuruhusu mabao mawili yaliyochangia timu hiyo kulala 4-0 mbele ya Yanga siku zilipokutana kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa, Manyara.