‘Nilinyimwa huduma katika mgahawa kwasababu ya uso wangu’

Ingawa likabiliwa na kudhalilishwa na uonevu wa kikatili alipokuwa akiwa mtoto, Amit Ghose anasema bado analazimika kuhangaika kitendo cha watu kumshangaa mara kwa mara, kummyooshea kidole na kutolewa maoni, na hata amenyimwa huduma katika mkahawa kwasababu ya uso wake.

​  BBC News Swahili

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *