‘Nilienda kwa ajili likizo ya Krismasi nyumbani, ‘nikakeketwa’

Alipokuwa na umri wa miaka 12, Catherine Meng’anyi alifanyiwa ukeketaji na mhuduma wa afya wa eneo. Miongo kadhaa baadaye, sasa anapinga ukeketaji na kulinda mamia ya wasichana.

​  BBC News Swahili

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *