Nigeria yaanza uchunguzi wa NGOs zilizofadhiliwa na USAID zinazodaiwa kuunga mkono ugaidi

Wakaguzi wa Nigeria wameanzisha uchunguzi kuhusu shughuli za zaidi ya mashirika kumi yasiyo ya kiserikali, NGO, huku kukiwa na madai kwamba fedha za shirika la misaada la serikali ya Marekani, USAID, zilitumika kufadhili ugaidi nchini Nigeria.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *