Nia ya Russia ya kuzidisha uwepo wake barani Afrika

Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergei Lavrov ametangaza utayarifu wa nchi yake kutoa msaada wa pande zote kwa Muungano wa Nchi za Sahel barani Afrika katika nyanja za ulinzi, usalama na uchumi.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *