Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu ametangaza kushadidi mashambulio mabaya dhidi ya Gaza, akionya kwamba mashambulizi ya hivi karibuni ya anga, ambayo yaliua watoto wasiopungua 174 katika ukanda huo, ni mwanzo tu wa uchokozi mkubwa zaidi dhidi ya Wapalestina.
Related Posts
Je, Urusi Inatengeneza Roboti Zenye Silaha za Aina ya Terminator Zinazoua?
Je, Urusi Inatengeneza Roboti Zenye Silaha za Aina ya Terminator Zinazoua?Putin hivi majuzi alisema kuwa viongozi wa AI wanasitasita kuweka…
Kwa nini ni muhimu Uimwengu wa Kiislamu uchukue msimamo mmoja dhidi ya utawala wa Kizayuni?
Katika muendelezo wa sera za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran za kuwaunga mkono wananchi wa Palestina na ulazima wa Ulimwengu…
Guinea yatoa msamaha uliobua utata kwa kiongozi wa zamani wa kijeshi Dadis Camara
Katika uamuzi wa kutatanisha, kiongozi wa utawala wa kijeshi wa Guinea, Jenerali Mamadi Doumbouya, ametoa msamaha wa rais kwa mtawala…