Namna tano China inaweza kujibu mapigo katika vita yake na Marekani

Vita vya kibiashara kati ya mataifa hayo mawili yenye uchumi mkubwa duniani vimeongezeka baada ya China kutangaza kuwa italipiza kisasi dhidi ya Marekani kwa kuongeza ushuru kwa bidhaa zinazoingizwa kutoka nje.