Nakba Nyingine: UN yaonya kuhusu kuhamishwa kwa nguvu kwa Wapalestina

Kamati Maalumu ya Umoja wa Mataifa imeonya kwamba dunia inaweza kuwa inashuhudia “Nakba nyingine” huku utawala wa Israel ukiendelea na mpango wake wa kuwaondoa kwa nguvu maelfu ya Wapalestina katika ardhi yao kwenye vita vyake vya muda mrefu vya mauaji ya kimbari dhidi ya Ukanda wa Gaza.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *