Mwezi wa Ramadhani Gaza: Wapalestina wataabika kuandaa futari na daku

Vita haribifu vya utawala ghasibu wa Kizayuni dhidi ya wananchi madhulumu wa Ukanda wa Gaza vimekuwa na taathira nyingi kwa wakazi wa eneo hilo katika siku za nyuma hususan katika kiipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhani.