Mwangwi wa matamshi ya Imam Khamenei katika vyombo vya habari duniani

Matamshi yaliyotolewa jana na Kiongozi Muadhamu wa mapinduzi ya Kislamu, Imam Ali Khamenei katika siku ya kwanza ya mwaka mpya wa Hijria Shamsia akijibu vitisho vya Rais wa Marekani, Donald Trump, yameakisiwa kwa mapana na marefu katika vyombo vya habari vya kimataifa.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *