Mahakama moja nchini Ufaransa jana Jumatatu ilimpata na hatia ya ubadhirifu, Marine Le Pen, aliyekuwa mgombea urais wa Ufaransa kwa mihula miwili na kiongozi wa chama cha National Rally (RN) chenye chuki dhidi ya Waislamu. Hukumu hiyo itaathiri mustakabali wake wa kisiasa, hasa kugombea katika uchaguzi wa rais wa Ufaransa wa 2027.
Related Posts
Watu watatu wauawa, akiwemo afisa wa Hamas, katika shambulio la Israel kusini mwa Lebanon
Angalau watu watatu, akiwemo afisa mwandamizi wa harakati ya Hamas, wameuawa katika shambulio la anga la Israel lililolenga nyumba moja…
Angalau watu watatu, akiwemo afisa mwandamizi wa harakati ya Hamas, wameuawa katika shambulio la anga la Israel lililolenga nyumba moja…

Wanachama zaidi wa NATO wanaidhinisha mashambulizi ya Ukraine dhidi ya Urusi
Wanachama zaidi wa NATO wanaidhinisha mashambulizi ya Ukraine dhidi ya UrusiFinland na Estonia zimeungana na Poland katika kupongeza mashambulizi ya…
Wanachama zaidi wa NATO wanaidhinisha mashambulizi ya Ukraine dhidi ya UrusiFinland na Estonia zimeungana na Poland katika kupongeza mashambulizi ya…
Kamanda: Iran ina uwezo wa kupiga ngome za adui popote pale
Kamanda wa Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) Admeli Alireza Tangsiri amesema kwa mara…
Kamanda wa Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) Admeli Alireza Tangsiri amesema kwa mara…