Sayyid Muhammad Mahdi Nasrullah, mwana wa Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon aliyeuawa shahidi amesema katika hotuba ya kuwaalika watu kuhudhuria mazishi ya baba yake kwamba: “kushiriki katika mazishi ya Shahidi Sayyid Hassan Nasrullah kutakuwa ni kushiriki katika siku ya kutangaza msimamo wa mtu na kudhihirisha kivitendo mapenzi kwa Shahidi Nasrullah”.
Related Posts
Ulimwengu wa Spoti, Feb 3
Mkusanyiko wa matukio makubwa ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita, katika pembe mbali mbali za dunia…. Post Views:…
Ulimwengu wa Spoti, Feb 17
Hujambo mpenzi na ashiki wa spoti, natumai u mzima wa afya. Huu ni mkusanyiko wa baadhi ya matukio makubwa ya…

Urusi haikujaribu kamwe kuajiri Wahindi kupigana katika mzozo wa Ukraine – ubalozi
Urusi haikujaribu kamwe kuajiri Wahindi kupigana katika mzozo wa Ukraine – ubaloziMoscow inasema inafanya kazi kwa karibu na New Delhi…