Elon Musk ndiye mtu tajiri zaidi duniani, mjasiriamali wa teknolojia aliyeweza kuwa na uhusiano na na kuingia kwa njia ya kipekee katika ofisi za juu zaidi za mamlaka ya kisiasa. BBC ilizungumza na baba yake Musk, Errol, ili kupata ufahamu kuhusu maisha ya utotoni ya Elon, na jinsi maisha hayo yalivyomuandaa kuwa mtu ambaye wengine wanamuita “rais asiye rasmi wa Marekani”.
Related Posts

Imani ya dini ya vijana Wakristo Ujerumani inapungua kulinganisha na ya vijana wa Kiislamu
Matokeo ya utafiti mpya uliofanywa na taasisi ya Ujerumani ya Shell Jugendstudie (Shell Youth Study) yanaonyesha kuwa, nafasi ya imani…
Matokeo ya utafiti mpya uliofanywa na taasisi ya Ujerumani ya Shell Jugendstudie (Shell Youth Study) yanaonyesha kuwa, nafasi ya imani…

Utawala wa Kizayuni waendelea kukodolea macho ya tamaa ardhi ya Somalia
Utawala wa Kizayuni wa Israel unaendeleza njama zake za kutaka kuwa na kituo cha kijeshi kaskazini mwa Somalia, kupitia eneo…
Utawala wa Kizayuni wa Israel unaendeleza njama zake za kutaka kuwa na kituo cha kijeshi kaskazini mwa Somalia, kupitia eneo…

Israel imeua waandishi habari 188 wa Kipalestina tangu Oktoba mwaka jana
Idara ya Yyombo vya Habari katika Ukanda wa Gaza, ambako utawala wa Israel umekuwa ukiendesha vita vya mauaji ya kimbari…
Idara ya Yyombo vya Habari katika Ukanda wa Gaza, ambako utawala wa Israel umekuwa ukiendesha vita vya mauaji ya kimbari…